Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,542
11,853
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.

kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.

Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.

Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.

Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.

Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.

Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.

Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?

Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?

Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.

Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.

Time will Tell!

Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.

View attachment 2247466
 
Huyo mnyonge akishanyongwa hiyo haki yake ataipata vipi na yeye ameshakufa.?
Sabaya alifanya ukora mwingi wacha naye afanyiwe ukora aliona hii nchi ni mali ya mama na baba yake.
Kwa hiyo Mbowe alifufuka pale alipoachiwa?
 
Malipo ni hapa hapa duniani. Yeye alipokuwa akienda Arusha kutekeleza kazi za kiofisi naninalikuwa anampa kibali cha kutoka Hai. Hata Mama Anna alikuwa hapewi taarifa. Wacha naye anyee ndoo magereza yote. Na bado kesi za Boma zinamsubiri
Na hapo ndio chadema mnapojifelisha mbele ya Jamii.
Kwa mara nyingine huyu jamaa atawapiga chini tena.
 
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi,Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.

Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.

Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.

Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.

Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.

Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.

Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?

Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?

Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.

Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.

Time will Tell!

Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
Acha wamfumue marinda huko karanga,ujambazi wake ndio umemponza
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom