Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 32,501
- 34,352
Good pointHuyo mnyonge akishanyongwa hiyo haki yake ataipata vipi na yeye ameshakufa.?
Good pointHuyo mnyonge akishanyongwa hiyo haki yake ataipata vipi na yeye ameshakufa.?
We want justice for Sabaya!Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Atavuna alichopanda huyo Jambazi Sabaya..Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Usimhusishe Rais na majungu yenu ya Sukuma Gang. Huyo bwege ataozea jela ana vimeo vingi tu,alikuwa anafanya ujambazi wake kifala akiamini Magufuli ataishi milele. Heri kupoteza hirizi kuliko kufiwa na mganga.SSH anajaribu kuwafurahisha chadema ili ajiongezee uungwaji mkono na kukubalika.
Kamwachia gaidi mbowe ili kuwafurahisha na kuwavutia chadema,
Anaendelea kumshikilia Sabaya ili kuwafurahisha chadema,
Orodha ya mambo yanayolenga kuwafurahisha chadema itaongezeka!
Kiturilo ana kibali cha kutukana viongozi wa Chadema hapa jukwaaniNadhani kiturilo ndio anaongoza kwa matusi lakini ndio Mwana CCM hodari.
Hata walioteshwa na Sabaya kipindi cha mwenda zake walisema time will tell, ngoja na yy asugue gaga kama alivyowasugulisha wenzie!! Mtakula mafi yenu shubamit na bado, whats goes around, come around!!!Time will Tell!
Mbona umekazania wafuasi wa Mbowe? Kwani hizi kesi ziko mahakamani kwa hisani ya Mbowe au watu wake?Watu wengi wafuasi wa Mbowe huwa mmejaza matope vichwani na ndio maana matusi kwenu ndio IQ.
Mkuu tulia, kuna wakati watu waliwekwa ndani kama njugu na tulitulia, tuendelee ku tulia..Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Haki gani unaitaka kwa huyo mhuni. Hakuna lisilojulikana hata sasa anasitiriwa kwa sababu ni chama dola.Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Kesi iliyotenguliwa na HC sio kwa sababu Sabaya hakutenda yale makosa bali ni technicality za kisheria tuu katika utoaji ushahidi.Hizi kesi zilizobaki ni kesi uchwara tu za kina Kweka na ambazo hawataweza kuzithibitisha.
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Hivi kati ya Sabaya na Mbowe nani mshabiki wa Konyagi mpaka ikamtengua mguu?
Sasa kama Kweka ni DPP mzuri.Kesi iliyotenguliwa na HC sio kwa sababu Sabaya hakutenda yale makosa bali ni technicality za kisheria tuu katika utoaji ushahidi.
Ni ujinga kuona eti hivyo ni kutokutenda kosa
Jamaa yangu,Sabaya ni lijambanoka.Usilitetee.Teh!Hivi kati ya Sabaya na Mbowe nani mshabiki wa Konyagi mpaka ikamtengua mguu?
Sure,uhuni alioutumia kuumiza watu ndani na nje ya mipaka ya mamlaka ya utawala wake,ndio uhuni huohuo unatumika kwake kwani mfumo ni uleule.Wengine wajifunze."UNAKUWA MPAMBE HADI BOSI ANAKASIRIKA"Sugu hawakumuelewa akiwa bungeni.Malipo ni hapa hapa duniani. Yeye alipokuwa akienda Arusha kutekeleza kazi za kiofisi nani alikuwa anampa kibali cha kutoka Hai. Hata Mama Anna alikuwa hapewi taarifa. Wacha naye anyee ndoo magereza yote. Na bado kesi za Boma zinamsubiri
Huu uhuni unakuwa engineered na Wakili Kwema na Pccb Kanda Kilimanjaro Ila Siku Sio Nyingi Kweka Kinampata KituJana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Huyu Sabaya atakuwa bwana wako si bure.Hivi kati ya Sabaya na Mbowe nani mshabiki wa Konyagi mpaka ikamtengua mguu?
Huwezi kuvuna zabibu wakati ulipanda mbigiri. Mwache sabaya avune matunda ya mti aliopandaJana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466