Sabaya hajashitakiwa na CHADEMA, wala mahakama, haziendeshwi na CHADEMA, wewe pumbafu!Na hapo ndio chadema mnapojifelisha mbele ya Jamii.
Kwa mara nyingine huyu jamaa atawapiga chini tena.
Tunaijua nguvu kubwa ya Kweka DPP Msaidizi,mzaliwa wa Machame nyuma ya hizi kesi za SABAYA.Sabaya hajashitakiwa na CHADEMA, wala mahakama, haziendeshwi na CHADEMA, wewe pumbafu!
Kwa maana hiyo, wewe ambaye huna ufinyu wa akili, CHADEMA inamshikilia mkuu wa zamani wa wilaya na kada wa ccm, kwenye mashitaka yake ya ujambazi?! Natamani CHADEMA ingekuwa na nguvu hiyo! Lakini siku zinakuja, mtashughulikiwa, majambazi wote na wake zao!Tunaijua nguvu kubwa ya Kweka DPP Msaidizi,mzaliwa wa Machame nyuma ya hizi kesi za SABAYA.
Kwa nini awe Kweka pekee kuzing'ang'ania kesi hizi. Wakati wako maafisa wengi kwenye kitengo hicho ambao wanaweza kuifanya kazi hiyo?
Kweka ni Mkwe wa MBOWE mwenyekiti wa CDM.
Na hapo ndio tunapoanzia kuwahusisha.
Hayo matusi yakurudie wewe mwenyewe kwa ufinyu wa uelewa wako wewesantesandy
Wacha longolongo,itikia wito huuTunaijua nguvu kubwa ya Kweka DPP Msaidizi,mzaliwa wa Machame nyuma ya hizi kesi za SABAYA.
Kwa nini awe Kweka pekee kuzing'ang'ania kesi hizi. Wakati wako maafisa wengi kwenye kitengo hicho ambao wanaweza kuifanya kazi hiyo?
Kweka ni Mkwe wa MBOWE mwenyekiti wa CDM.
Na hapo ndio tunapoanzia kuwahusisha.
Hayo matusi yakurudie wewe mwenyewe kwa ufinyu wa uelewa wako wewesantesandy