Supapawa
Senior Member
- Aug 29, 2026
- 182
- 409
Haya mkuu 😂Baki na wa kina Seran wako
Haya mkuu 😂Baki na wa kina Seran wako
Hapa ndio umeonyesha ugenius sio?Acha ushenzi mshamba mbeba mabox wewe.
Mimi ni GOAT in the making. Ain't no one can talk me out of it. Na hakuna wakunipangia...
Ni wewe mshamba na shilawadu kukaa unafatilia kila steps za greatbones
Haka kajamaa kanahangaika sana na JF mpaka kanatia huruma,Unamaanisha leo atalala usingizi mnono hapo kwenye sofa la shemeji yake hadi ataota ndoto nyevu!?
Na wewe ulivyo mjinga humu quote ShesRise_1 kwenye utumbo wako, unanichokoza then unaenda kunisemea kwa mtu aliye kukataa? 😂Hapa ndio umeonyesha ugenius sio?
Ndio maana ShesRise_1 alikutimua ili usimuambukize mikosi.
Uta ongea sana mshamba wewe,Haka kajamaa kanahangaika sana na JF mpaka kanatia huruma,
Inaonekana kwenye maisha ya uhalisia kanadharaulika sana,faraja yake pekee imebaki hapa JF tu,kakifungua vinyuzi vyake na watu wakachangia ndio inakapa faraja kua kana thamani fulani,
Inaonekana hata kwenye familia yake wamekatenga sana,ni kamtu kapweke sana
Unamjua Nikola Tesla au unaongea tuKigezo cha kuwa genius au great thinker ni kuwa na PESA kwanza
You can't be smart and broke
They work in darkness na sio watu wenye kujali materialistic stuffUnamjua Nikola Tesla au unaongea tu
Kwa Taarifa Yako majitu yenye Akili nyingi hayana pesa Sana angalia Kuanzia kina Galileo Galilei, Kina Niel Bohr ambao walitafuta angular momentum ya electron kuzunguka nuclear ya atom, Kina Isac Newtown Hadi ma Professor wa Sasa hawana uchumi Sana
Kwa Sababu Muda wao mwingi wanaweka kwenye Kusoma na kufikilia Vitu ambavyo Dunia inazani ni Impossible.
Unamjua Nikola Tesla au unaongea tu
Kwa Taarifa Yako majitu yenye Akili nyingi hayana pesa Sana angalia Kuanzia kina Galileo Galilei, Kina Niel Bohr ambao walitafuta angular momentum ya electron kuzunguka nuclear ya atom, Kina Isac Newtown Hadi ma Professor wa Sasa hawana uchumi Sana
Kwa Sababu Muda wao mwingi wanaweka kwenye Kusoma na kufikilia Vitu ambavyo Dunia inazani ni Impossible.
BIG NO
You can be a Smart broke dude
Hujawaona choka mbaya mtaani lkn IQ kubwa?Ahaaa , hapana mkuu this is impossible
SurelyThey work in darkness na sio watu wenye kujali materialistic stuff
Joined 2026 unamjua GT ephen, Maajabu!
Kafatilie Maisha ya Nicola Tesla,Huu mfano wako haupo na uhalisia is not actual
Sio utani ndio ukweli wenyeweMkuu haya matani ni next level
Nenda kafanye kazi acha umarioo kijanaAhahahahahha ma Great thinker makini kabisa...
Sasa vishu mtata hapa kuna utata.
Kazi ya laki mbili au niendelee kusugua kwa mama bilali hapa...?