de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,685
- 23,388
- Thread starter
- #121
Kmhakuna kitu hapo mkuuHapo wote vichwa japo kiranga naweza nkamtoa mana hua anakosa akili anapo pinga uwepo wa mungu ila the rest wote ni TOP NOTCH 🔥
Binafsi naona ni watu wa kawaida sana.
Misamiati na kuanzisha mada fikirishi sio kigezo cha kuwa great thinker..
Labda huyo Bob Manson naona anakuja kidogo. Ila wengine kama huyu binti kiziwi hakuna kitu,
Kuna member mrembo anaitwa ShesRise_1 huyu ni great thinker.