Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,220
- 138,651
Taasisi inakuwa na jinsia zote na rika zoteDuuh ukiwa na maana gani Mkuu?
Taasisi inakuwa na jinsia zote na rika zoteDuuh ukiwa na maana gani Mkuu?
Watu wenye husda naye watasema "wewe ni yeye mwenyewe"Kuna jama anaitwa de Gunner
waliorithi pesa nao unasemaje?naunga mkono hoja kwa nguvu zangu zote.
halafu me sijawahi kuona mwenye pesa nyingi asiye na akili timamu wala asiye genius.
pesa kwanza bana, pesa ndo kipimo cha akili nyingi
mkuu mim nianze na wew upo kanda zipi unipe mchongo?Huku tupeane michongo ya fweza maana jf matajiri ni wengi
mkuu mi mwenyewe nasaka harakati,nipo lake zonemkuu mim nianze na wew upo kanda zipi unipe mchongo?
sawa ndugu yanguNafatilia ndugu yangu.
Kuwa na imani nitakujulisha
Hawezi kukuelewa mpaka utumie AIMkuu great thinker anapimwa kwa pesa na sio maandiko unayoandika
Kwakuwa kuandika pekee haitoshi kuitwa great thinker lazima tuone ubora kumiliki pesa
Ambao wamepata utajiri kwa njia za ujambazi, kutoa kafara za kuua watu na kuwafanya watu wengine matahira nao pia ni smart kwa sababu ni matajiriKigezo cha kuwa genius au great thinker ni kuwa na PESA kwanza
You can't be smart and broke
Aisee unasemaje kuhusu haya madai raraa reree?Taasisi inakuwa na jinsia zote na rika zote
Chance are you will end up making poor choices that will affect every single thought be it great or average.Kigezo cha kuwa genius au great thinker ni kuwa na PESA kwanza
You can't be smart and broke
Kwa sisi wenye kuleta mada fikirishi, na kwa faida ya member ambao wanahitaji wa kupata suluhu ya jambo, au kupata like minds, ambao wanaweza kujadili vitu kwa mapana. Inaweza hata kuwa mwanzo wa kupata idea zenye kisaidiana kwenye hustle zetu za kila leo.
Naomba leo tuwekane wazi ni wakina nani waki comment wanakupa ile activation ya kufikiria zaidi?
Mtag tumjue na ikiwezekana mwekee na u genius wake unapotea wapi. Ili tujue namna ya kumtumia endapo unataka kujua kitu katika angle hiyo..
Tiririkeni wakuu.