Steve Rogers
Member
- Jun 20, 2026
- 55
- 138
Wamekuonea ndege sema itakaa Sawa tu kikubwa hawaja i-banWame-disable.
Wamekuonea ndege sema itakaa Sawa tu kikubwa hawaja i-banWame-disable.
Basi GT wetu mpya wa humu anakula dada wa rafiki yake. Huku ni kupatwa kwa JF.Ulisha ona GT anaanzisha uzi wa kusema amemla Dada wa rafiki yake! Ulishawahi kuona GT anaanzisha uzi wa kumchukia Baba yake?
Kwanza mara nyingi maGT wa JF hua wanapatikana zaidi kwenye comments na sio kwenye kuanzisha vinyuzi kila dakika.
Ngoja tusubiri mkuu.Wamekuonea ndege sema itakaa Sawa tu kikubwa hawaja i-ban
Binafsi nadhani huu ni ukweli mtupu, 🔥Ni vile tu wengi tunapenda kuonekana tunajua kila kitu, hatujui kufunga midomo sababu ya ujuaji.
Kama tungekuwa tunafungua vinywa kuongea yale tunayofahamu vizuri huku tukifungua masikio kusikiliza yale tusiyoyaelewa kila mtu angekuwa genius.
Bila shaka hii ni ID ya moja kati ya wabaya wangu humu, sema imekuja na vazi tofautiMleta mada alinukuliwa akisema, "napenda sana kuwa center of attention". Huyu jamaa asipopata attention atajinyonga aisee 😂
Mi nimeamua tu kumpa attention ili tu asijinyonge.
Unamaanisha leo atalala usingizi mnono hapo kwenye sofa la shemeji yake hadi ataota ndoto nyevu!?Lengo la huu uzi lipo hapa,hayo maelezo mengine ni geresha tu,
So,mlio mtaja mleta mada ndio mmeuelewa uzi vizuri sana,basi leo atalala akiamini kua ni kweli yeye ni GT coz lengo la huu uzi lilikua ni hilo tu.
Mrembo unguja hapo wanasemaje 🥰Unamaanisha leo atalala usingizi mnono hapo kwenye sofa la shemeji yake hadi ataota ndoto nyevu!?
Ulisha ona GT anaanzisha uzi wa kusema amemla Dada wa rafiki yake! Ulishawahi kuona GT anaanzisha uzi wa kumchukia Baba yake?
Kwanza mara nyingi maGT wa JF hua wanapatikana zaidi kwenye comments na sio kwenye kuanzisha vinyuzi kila dakika.
VAR
Ni mwanangu toka way back sana,
Sasa tumekuja kuwa na ushkaji mkubwa miaka ya hivi karibuni, mixer wazazi wake wananifaahamu sana. Mimi ni mtu ambae nikizoeana na watu, hamnaga kupoa. Yaani ni mtu wa good vibes, huwa nakuwa na stori za kuwafanya watu wabadili moods.
So kuna dada mtu ambae siku wahi kuwa tunajuana coz muda mwingi alikuwa masomoni, toka nianze kwenda pale amekuwa akiniganda sana, na wazazi wao wanajua ni friends, nikifika ga pale huwa ananichangamkia sana, mara tumekaa tuna watch movie aje aniwekee miguu yake.. Mara nmanataka ashike simu yangu... Napenda sana kuongelea...
- de Gunner
- Replies: 132
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Kwani uongo..Lengo la huu uzi lipo hapa,hayo maelezo mengine ni geresha tu,
So,mlio mtaja mleta mada ndio mmeuelewa uzi vizuri sana,basi leo atalala akiamini kua ni kweli yeye ni GT coz lengo la huu uzi lilikua ni hilo tu.
Mimi mbona nakukubali tu mkuu.😂 11 namba 🔥Bila shaka hii ni ID ya moja kati ya wabaya wangu humu, sema imekuja na vazi tofauti
Hahaha 😂Kumbe wewe ndo ndege😂 bora wame kufanya mbaya maana akili zako unaijua mwenyewe
Nakukubali sana, japokuwa huwa napenda kukutania 😆Wewe mshenzi tu, rafiki ake Seran
Hili ni jukwaa la nyumbu wa chadema, wale wote wanaoipinga serikali na kuitukana ndiyo great thinkers wa JF na usisahau na wale wa hadithi za kusadikika km yule mpare Mshar jrKwa sisi wenye kuleta mada fikirishi, na kwa faida ya member ambao wanahitaji wa kupata suluhu ya jambo, au kupata like minds, ambao wanaweza kujadili vitu kwa mapana. Inaweza hata kuwa mwanzo wa kupata idea zenye kisaidiana kwenye hustle zetu za kila leo.
Naomba leo tuwekane wazi ni wakina nani waki comment wanakupa ile activation ya kufikiria zaidi?
Mtag tumjue na ikiwezekana mwekee na u genius wake unapotea wapi. Ili tujue namna ya kumtumia endapo unataka kujua kitu katika angle hiyo..
Tiririkeni wakuu.