Nani unamwona kama Great Thinker hapa JF?

Nani unamwona kama Great Thinker hapa JF?

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,456
Reaction score
22,759
Kwa sisi wenye kuleta mada fikirishi, na kwa faida ya member ambao wanahitaji wa kupata suluhu ya jambo, au kupata like minds, ambao wanaweza kujadili vitu kwa mapana. Inaweza hata kuwa mwanzo wa kupata idea zenye kisaidiana kwenye hustle zetu za kila leo.

Naomba leo tuwekane wazi ni wakina nani waki comment wanakupa ile activation ya kufikiria zaidi?

Mtag tumjue na ikiwezekana mwekee na u genius wake unapotea wapi. Ili tujue namna ya kumtumia endapo unataka kujua kitu katika angle hiyo..

Tiririkeni wakuu.
 
Mkuu great thinker anapimwa kwa pesa na sio maandiko unayoandika

Kwakuwa kuandika pekee haitoshi kuitwa great thinker lazima tuone ubora kumiliki pesa
That's not the case, infact great thinkers are natural born. Na kingine what one thinks is a reflection of his/her value na hata kama hajafikia ukubwa ule, it's a matter of time
 
Back
Top Bottom