Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Jamani wakubwa wangu heshima kwenu!! Pamoja na kuwa mmoja wa p4, nawaangukia kuwaombeni kura zenu kwa uwingiiiiiiiii! Na msiponipigia hakika kundi la 'masalia' litakesha kunipigia! Nawatakieninkila la kheri katika kunipigia kura!

Mwahhhhh to ol of u! gfsonwin, Zinduna, FP BADILI TABIA, yummy, Paloma, Zion Daughter, Catherine, The secretary, amu, Chauro, Smile, sweetlady, Kongosho, Kipipi, First lady1,

jamani na wakaka woteeeeeeeeee mkianziwa na hubby wangu Asprin, shem wangu wa ukwee Kaizer na mahommies wa hubby, TANMO, Teamo, Fidel80, kura zenu plzzzzzzz! Nipo safarini nampeleka mama kwenye matibabu tena! Nikipotea basi gfsonwin na Asprin miniendelezee kampeni zangu! Mwahhhhhh!
 
Last edited by a moderator:
Nawaita PakaJimmy, Mungi, zomba, Filipo nitonye Mamzalendo, marejesho Erickb52, Arushaone, Mamndenyi, Bishanga, Dena Amsi, Mr Rocky , FP Lily Flower, mwaJ snow white sweetlady, watu8, measkron, HYGEIA Husninyo, AshaDii, The Boss, Mphamvu, Paloma, zubedayo_mchuzi, Ruttashobolwa, gfsonwin, King'asti, Kongosho, Kaunga, Smile, platozoom, ndetichia, BADILI TABIA, BAK Asprin Mtambuzi Rejao, Dena Amsi, Nicas Mtei, Dark City, Mzee wa Rula, Kijino, nivea, giLESi, mary hunbig, stevoh na wengineo mje hapa mumpigie kura Arabela awe miss chit chat wa mwaka 2012, ni binti mrembo,mtaratibu,mwenye nidhamu na anawapenda wana chit chat wote kura ni kwa Arabela aaaaa
 
Last edited by a moderator:
Nawaita PakaJimmy, Mungi, zomba, Filipo nitonye Mamzalendo, marejesho Erickb52, Arushaone, Mamndenyi, Bishanga, Dena Amsi, Mr Rocky , FP Lily Flower, mwaJ snow white sweetlady, watu8, measkron, @hyegia Husninyo, AshaDii, The Boss, Mphamvu, Paloma, zubedayo_mchuzi, Ruttashobolwa, gfsonwin, King'asti, Kongosho, Kaunga, Smile, platozoom, ndetichia, BADILI TABIA, BAK Asprin Mtambuzi Rejao, Dena Amsi, Nicas Mtei, Dark City, Mzee wa Rula, Kijino, nivea, giLESi, mary hunbig, stevoh na wengineo mje hapa mumpigie kura Arabela awe miss chit chat wa mwaka 2012, ni binti mrembo,mtaratibu,mwenye nidhamu na anawapenda wana chit chat wote kura ni kwa Arabela aaaaa

ha ha haaa! Kampeni eeeh! haya Baba V tuma posho ya kuhonga kwa M-pesa tuendeleze kampeni na tshirt na kofia tutengeneze
 
Last edited by a moderator:
Nawaita PakaJimmy, Mungi, zomba, Filipo nitonye Mamzalendo, marejesho Erickb52, Arushaone, Mamndenyi, Bishanga, Dena Amsi, Mr Rocky , FP Lily Flower, mwaJ snow white sweetlady, watu8, measkron, HYGEIA Husninyo, AshaDii, The Boss, Mphamvu, Paloma, zubedayo_mchuzi, Ruttashobolwa, gfsonwin, King'asti, Kongosho, Kaunga, Smile, platozoom, ndetichia, BADILI TABIA, BAK Asprin Mtambuzi Rejao, Dena Amsi, Nicas Mtei, Dark City, Mzee wa Rula, Kijino, nivea, giLESi, mary hunbig, stevoh na wengineo mje hapa mumpigie kura Arabela awe miss chit chat wa mwaka 2012, ni binti mrembo,mtaratibu,mwenye nidhamu na anawapenda wana chit chat wote kura ni kwa Arabela aaaaa
Mi nilidhani unatuita tumpigie Mama v
Hivi ye keshakua m-bibi eeeh? Lol
Kwanza naitafuta poll hata sioni imenitoa ushamba balaa natamani niitandike b52 lisambaratike!
 
Last edited by a moderator:
Mods sio wote tunaweza piga kura kwa kutumia poll, tafadhali pitieni posts pia, naanza kuhisi uccm ccm hapa {uchakachuzi}
 
Mi nilidhani unatuita tumpigie Mama v
Hivi ye keshakua m-bibi eeeh? Lol
Kwanza naitafuta poll hata sioni imenitoa ushamba balaa natamani niitandike b52 lisambaratike!

hii poll inazingua aisee, Mama v keshakuwa mtu mzima labda kama itakuwepo madam chit chat ndo aje awanie na akina Mamndenyi na BADILI TABIA
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Jamani wakubwa wangu heshima kwenu!! Pamoja na kuwa mmoja wa p4, nawaangukia kuwaombeni kura zenu kwa uwingiiiiiiiii! Na msiponipigia hakika kundi la 'masalia' litakesha kunipigia! Nawatakieninkila la kheri katika kunipigia kura!

Mwahhhhh to ol of u! gfsonwin, Zinduna, FP BADILI TABIA, yummy, Paloma, Zion Daughter, Catherine, The secretary, amu, Chauro, Smile, sweetlady, Kongosho, Kipipi, First lady1,

jamani na wakaka woteeeeeeeeee mkianziwa na hubby wangu Asprin, shem wangu wa ukwee Kaizer na mahommies wa hubby, TANMO, Teamo, Fidel80, kura zenu plzzzzzzz! Nipo safarini nampeleka mama kwenye matibabu tena! Nikipotea basi gfsonwin na Asprin miniendelezee kampeni zangu! Mwahhhhhh!
Naona umewachagua watu wa Dar tu eeeh sawa uzuri hata Ruhazwe JR kateua kwa upendeleo.
Arusha si tutaangalia tu.
Salamu kwa Invisible mi nimemind iweje Arusha tusiwe na mshiriki tangu haya makitu yaanze? Not fair.
Arusha wing PakaJimmy Mzee wa Rula Preta sweetlady Arushaone LiverpoolFC Lily Flower Mr Rocky Blaki Womani Tonykp Mamzalendo IGWE Filipo marejesho Loner Kabakabana na wengine hakuna kupiga kura hadi awepo mtu wa Arusha
 
Last edited by a moderator:

Unatafuta kupigwa kipapai mkongo wewe, aliyekuruhusu ku copy,paste na ku edit post yangu ni nani,!??? umewasha moto
 
Last edited by a moderator:
Naona umewachagua watu wa Dar tu eeeh sawa uzuri hata Ruhazwe JR kateua kwa upendeleo.
Arusha si tutaangalia tu.
Salamu kwa Invisible mi nimemind iweje Arusha tusiwe na mshiriki tangu haya makitu yaanze? Not fair.
Arusha wing PakaJimmy Mzee wa Rula Preta sweetlady Arushaone LiverpoolFC Lily Flower Mr Rocky Blaki Womani Tonykp Mamzalendo IGWE Filipo marejesho Loner Kabakabana na wengine hakuna kupiga kura hadi awepo mtu wa Arusha

afu wewe!! jiangalie, piga kura kwa Arabela
 
Last edited by a moderator:
hya haya mashostito wa ukweli na marafiki wote njooni kwa pamoja tumpigie kura shosti wangu wa ukweli cacico!!!!!!!!!!!
Mtambuzi tunaipenda kura yako dondosha wino, Mentor ujue dada yako anasubiri udondoshe kura yako, snowhite shosti na mke mwenzio anasubiri udondoshe likura lako lenye thamani sana kwake.
KakaKiiza naomba kura yako kwa shoga yangu cacico, Mbimbinho please usiningushe, Eiyer naomba kura yako kwa cacico. Ruttashobolwa wewe kura yako najua ndo ushinddi wa cacico.
 
Last edited by a moderator:
kwanza sikubaliani na huu mchanganuo wa kuwapata washiriki. ingefaa iwe hivi

kungekuwa na mashindano ya ki kanda like dar tungekuwa na yetu kumpata miss chit chat dar na arusha wangefanya hivyo na mwanza na kwingineko.

kisha sasa washindi wa kila kanda ndo wangeletwa kuja kumtafuta miss chit chat wa mwaka. sasa wote hawa wametoka dar na pia wote ni kambi moja sasa unampataje mshndi hapa?

kwasasa kwasabbau tumechelewa iendelee ila next time iratibiwe kikanda kwanza kabla ya kiujumla
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom