ahsante sana my dia jaman because nafaa
Mashindano yaliyopita kulikuwa na uchakachuaji ila safari hii siendi tena kule Kibada mpaka ushindi upatikane,mpaka sasa hivi unaongoza...
ahsante usiende kabisa. Naomba uwe campaign manager wangu
Arabela
Zinduna lazma kieleweke mwisho wa siku, kwa sasa hebu nipigie kura kwanza, mambo mengine baadae! Mzima lakini shost wangu?huu ni ubaguzi wa wazi na dhahiri.
Kwanza ni vigezo gani ulivyotumia kupata hao warembo hapo juu, na kwa nini jina langu na la lara 1 halipo kwenye hicho ulichoita 'nafasi ya upendeleo'?
Hapa lazima nipige kampeni ya kususia huu mtanange, mpaka utupe majibu ya kina.
Hii haikubaliki kabisa kijana.
Arabela
Na usisahau safari hii upigaji kura ni tofauti,poll imewekwa juu kabisa na sio kuandika majina kama ilivyokuwa kipindi kilichopita,ni bora kila aliye upande wetu aitendee haki hiyo poll kwa kumpigia kura Arabela.Shuran kwa Mods kwa kutambua uwepo wetu na kutuwekea poll hii ya kisasa kabisa...
Arabela
Nini minajili kwanza