Nimepigwa jua la majukwaa yote ya JF....
mkishindwa...mniambie...kuna kitu kinaitwa Multfist..na triple combination...
Yan watu tulikesha kupita kila jukwaa kupiga kampeni na kuomba kura mimi, kampen manager watu8 na kambi yangu nzima afu muandaaji asepe???? Weeeeeee mbona atahama JF ati......
Ruhazwe JR,watu tulikuwa tunataka tuongeze udhamini,lakini kwa mtaji huu unatuvunja moyo bhana!!
stevoh anakulilia anasema hajaona kama wewe na anaomba umfikirie jamani
Wapi Gazeti letu pendwa la udaku la JF????
Naomba kichwa cha habari cha leo kisomeke hiv
SHINDANO LA MISS CHIT CHAT LAINGIA DOA... MUANDAAJI AINGIA MITINI NA ZAWADI ZA WASHIRIKI
copy to: Chimbuvu, Slave, Mu-sir, watu8, Erickb52, Nicas Mtei, Arabela, Madame B masopakyindi Samaritan na kitalolo
bila kuwasahau Invisible na Moderator
Mkuu charminglady na wengine wote wanaohusika na hili Shindano naomba mjue kuwa muandaaji ni kaka yangu kabisaa sasa lazima kuna tatizo behind. Nitafuatilia na kuwaletea feedback ASAP. over and out.
Mkuu charminglady na wengine wote wanaohusika na hili Shindano naomba mjue kuwa muandaaji ni kaka yangu kabisaa sasa lazima kuna tatizo behind. Nitafuatilia na kuwaletea feedback ASAP. over and out.
wewe unakaa zako huko nje ya nchi unashindwa kumjulia hali kaka yako?. kama huna taarifa ni kwamba kaka yako anaumwa tangu tarehe 26/12/2012. mia
Vipi hali yake kwa sasa??????