Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hata mimi nakuunga mkono.Huu ni ubaguzi wa wazi na dhahiri.
Kwanza ni vigezo gani ulivyotumia kupata hao warembo hapo juu, na kwa nini jina langu na la lara 1 halipo kwenye hicho ulichoita 'NAFASI YA UPENDELEO'?
Hapa lazima nipige kampeni ya kususia huu mtanange, mpaka utupe majibu ya kina.
Hii haikubaliki kabisa kijana.
Tupewe vigezo vilivyotumika kupata nafasi za upendeleo. Kwanini wasiwe wake zangu BADILI TABIA, Yummy na Asali Kongosho?
Au ni kwanini wasiwe wake zangu watarajiwa mambo yakienda sawa marejesho na Binti.com
Au ni kwanini wasiwe dada zangu Preta na sweetlady na Nyamayao
Au kwanini siyo walimu wangu snowhite na gfsonwin
Au kwanini siyo wajukuu zangu afrodenzi na MwanajamiiOne
Au msiri wa hommie wangu Kaizer bi mwaJ
Naandaa maandamano asee!!
Last edited by a moderator: