We bibi tangaza kujitoa kwenye mashindano bana, miss gani ana waume tisa afu hatujui shemeji yetu ni yupi!??
kinena unacho wewe, mimi nina uhakika na ninachokiandika
Ni lazima unene kabla ya kuandika.
Hivyo nawe una kinena tena cha 90%
Nawaita PakaJimmy, Mungi, zomba, Filipo nitonye Mamzalendo, marejesho Erickb52, Arushaone, Mamndenyi, Bishanga, Dena Amsi, Mr Rocky , FP Lily Flower, mwaJ snow white sweetlady, watu8, measkron, HYGEIA Husninyo, AshaDii, The Boss, Mphamvu, Paloma, zubedayo_mchuzi, Ruttashobolwa, gfsonwin, King'asti, Kongosho, Kaunga, Smile, platozoom, ndetichia, BADILI TABIA, BAK Asprin Mtambuzi Rejao, Dena Amsi, Nicas Mtei, Dark City, Mzee wa Rula, Kijino, nivea, giLESi, mary hunbig, stevoh na wengineo mje hapa mumpigie kura Arabela awe miss chit chat wa mwaka 2012, ni binti mrembo,mtaratibu,mwenye nidhamu na anawapenda wana chit chat wote kura ni kwa Arabela aaaaa
Chimbuvu
Nawaita PakaJimmy, Mungi, zomba, Filipo nitonye Mamzalendo, marejesho Erickb52, Arushaone, Mamndenyi, Bishanga, Dena Amsi, Mr Rocky , FP Lily Flower, mwaJ snow white sweetlady, watu8, measkron, HYGEIA Husninyo, AshaDii, The Boss, Mphamvu, Paloma, zubedayo_mchuzi, Ruttashobolwa, gfsonwin, King'asti, Kongosho, Kaunga, Smile, platozoom, ndetichia, BADILI TABIA, BAK Asprin Mtambuzi Rejao, Dena Amsi, Nicas Mtei, Dark City, Mzee wa Rula, Kijino, nivea, giLESi, mary hunbig, stevoh na wengineo mje hapa mumpigie kura Madame B awe miss chit chat wa mwaka 2012, ni binti mrembo wa kuvutia,kazi ni kwenu wana chit chat,mpigieni kura Madame B
Kwa stahili hii ya kucopy inabidi na posts zetu ziwekewe copy right kwa kweli!! Usijali mkuu, kura yangu ameshaipata!!
afu walopewa nafasi za upendeleo sasa ....Huu ni ubaguzi wa wazi na dhahiri.
Kwanza ni vigezo gani ulivyotumia kupata hao warembo hapo juu, na kwa nini jina langu na la lara 1 halipo kwenye hicho ulichoita 'NAFASI YA UPENDELEO'?
Hapa lazima nipige kampeni ya kususia huu mtanange, mpaka utupe majibu ya kina.
Hii haikubaliki kabisa kijana.
Naomba kura yako mkubwa plz!Haya mkuu, kila la heri!