Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Wote waliosajili IDs za ziada zilikuwa merged; nilishalitolea ufafanuzi hili. Ndo maana wengine waliona kura zinapukutika ghafla! Kila tunapobaini udanganyifu, unafanyiwa kazi haraka sana

kumbe ndio maana du nyie wakali sio mchezo..
 
Wote waliosajili IDs za ziada zilikuwa merged; nilishalitolea ufafanuzi hili. Ndo maana wengine waliona kura zinapukutika ghafla! Kila tunapobaini udanganyifu, unafanyiwa kazi haraka sana

Nakushukuru sana mkuu.....

figganigga, mathematics, Ismail N. Juma na wengine wenye wasiwasi na shindano nadhani mmeona ufafanuzi huu. Asanteni
 
Last edited by a moderator:
Mbona wadhamini wameongezeka lakini zawadi kwa mshindì haijaongezeka?
 
Mbona wadhamini wameongezeka lakini zawadi kwa mshindì haijaongezeka?

mkuu soma vizuri maelezo niliyoyatoa kwenye update.nimeseme jumla ya tsh 71,000 zilizo ongezeka zipo pembeni ili akipatika mdhamini wa kama elf 10 tutakuwa na elfu 81 ambazo tukijumlisha na elfu 20 hizo za kumlipia mchango jf,tutakua na zaidi ya lak ambayo tunaweza tukamlipia jf gold bronze...niulize tena
 
mkuu soma vizuri maelezo niliyoyatoa kwenye update.nimeseme jumla ya tsh 71,000 zilizo ongezeka zipo pembeni ili akipatika mdhamini wa kama elf 10 tutakuwa na elfu 81 ambazo tukijumlisha na elfu 20 hizo za kumlipia mchango jf,tutakua na zaidi ya lak ambayo tunaweza tukamlipia jf gold bronze...niulize tena

na asipopatikana Mdhamini mwingine itakuaje?
 
mkuu soma vizuri maelezo niliyoyatoa kwenye update.nimeseme jumla ya tsh 71,000 zilizo ongezeka zipo pembeni ili akipatika mdhamini wa kama elf 10 tutakuwa na elfu 81 ambazo tukijumlisha na elfu 20 hizo za kumlipia mchango jf,tutakua na zaidi ya lak ambayo tunaweza tukamlipia jf gold bronze...niulize tena

Samahani mkuu kwa kukusahihisha.. Subscription zipo kama ifuatavyo:-

JF Bronze member

JF Gold membet

JF Platinum member

JF Tanzanite member

na sio JF Gold Bronze
 
Samahani mkuu kwa kukusahihisha.. Subscription zipo kama ifuatavyo:-

JF Bronze member

JF Gold membet

JF Platinum member

JF Tanzanite member

na sio JF Gold Bronze
nashukuru cl kwa kuweka kumbukumbu sawa,niliteleza.nilimaanisha jf god member
 
na asipopatikana Mdhamini mwingine itakuaje?

asipopatikana tutazigawa kama ambavyo tumekua tukifanya,lakin hatujakata tamaa kwakua nimepoke pm nying za ahadi ambazo nasubil utekelezaji,sijakata tamaa,kwakua si kawaida yangu kukata tamaa....unataka kuniambia mimi na wewe tukiungana tutashindwa kuikamili ili kuhakikisha hat jf inanufaika kutokana na chitchat?
 
mmepungukiwa ngapi ni top-up?

mkuu kwa sasa tungepata elfu 10,000 tunge weza kumlipia mshndi wa kwanza kifurush cha jf gold member (laki 1)halafu hizo zawad nyingine zikabakia kama zilivyo hapo juu.kama tutapata zaidi maana hata hizo zawad za muda wa maongez zitaongeze zaidi.tukifikia malengo haya nadhan itakuwa nifaraja kwa wanachitchat kuichangia jf kwa namna ya mashindano haya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom