mkuu kwa sasa tungepata elfu 10,000 tunge weza kumlipia mshndi wa kwanza kifurush cha jf gold member (laki 1)halafu hizo zawad nyingine zikabakia kama zilivyo hapo juu.kama tutapata zaidi maana hata hizo zawad za muda wa maongez zitaongeze zaidi.tukifikia malengo haya nadhan itakuwa nifaraja kwa wanachitchat kuichangia jf kwa namna ya mashindano haya.
haya mkuu hiyo elfu kumi nimetoa mimi
acha kunibania bana!. mimi nakuomba lifti ya kwenda himo unanilazimisha nipande lifti ya kwenda tandahimba!. yaani kwa kauri hiyo ndo ushaninyima. basi ninunulie #azam cola! kama huwezi ntumia tigo pesa!. sasa wewe ntakufaidi nini?. ikishindikana mwezi wa pili naenda #kisesa kama vipi ntakupitia hapo #makoroboi !. miaMkuu kama unatumia zantel poa... Lakini tiGO hupati ng'o make me sio mtumiaji wa tiGO!!! :becky:
acha kunibania bana!. mimi nakuomba lifti ya kwenda himo unanilazimisha nipande lifti ya kwenda tandahimba!. yaani kwa kauri hiyo ndo ushaninyima. basi ninunulie #azam cola! kama huwezi ntumia tigo pesa!. sasa wewe ntakufaidi nini?. ikishindikana mwezi wa pili naenda #kisesa kama vipi ntakupitia hapo #makoroboi !. mia
Wote waliosajili IDs za ziada zilikuwa merged; nilishalitolea ufafanuzi hili. Ndo maana wengine waliona kura zinapukutika ghafla! Kila tunapobaini udanganyifu, unafanyiwa kazi haraka sana
haya mkuu hiyo elfu kumi nimetoa mimi
woow....dumbukiza number 0756144386
haki ya nani izo kura nagekuwa nazo mtu mwingine tofauti na charminglady yani msingeona malalamiko yoyote hapa ila kisa mdada wa watu safari hii kajitwalia taji bila upinzani mnanuna, na nyie si mtafute hizo matipo aidii....kumbe mnajua mbinu zake kwa nini nyie msifanye kama yeye?
haki ya nani izo kura nagekuwa nazo mtu mwingine tofauti na charminglady yani msingeona malalamiko yoyote hapa ila kisa mdada wa watu safari hii kajitwalia taji bila upinzani mnanuna, na nyie si mtafute hizo matipo aidii....kumbe mnajua mbinu zake kwa nini nyie msifanye kama yeye?
You mean kuuliza tu ndo tunachukia charminglady kuwa na kura nyingi??
Ulikuwepo tangu tunaanza kupiga kura???
Mbona wakati mkeo ana kura chache pia malalamiko yalikuwepo?
(Mkuu unapopost jaribu kuangalia effect ya maneno yako, mwenyewe akifikiria hivyo kweli basi manung'uniko yake yote na yawe juu yako.)
Sikujua hizo mbinu kama bado ziko applicable, nyie endeleeni tu.
N.B. charminglady utanisamehe kama hujafeel good, no malice intended.
juntos podemos
You mean kuuliza tu ndo tunachukia charminglady kuwa na kura nyingi??
Ulikuwepo tangu tunaanza kupiga kura???
Mbona wakati mkeo ana kura chache pia malalamiko yalikuwepo?
(Mkuu unapopost jaribu kuangalia effect ya maneno yako, mwenyewe akifikiria hivyo kweli basi manung'uniko yake yote na yawe juu yako.)
Sikujua hizo mbinu kama bado ziko applicable, nyie endeleeni tu.
N.B. charminglady utanisamehe kama hujafeel good, no malice intended.
Teh teh teh.... Me nawaangalia tu. Sina cha kusema!!!!!!
hahah kaka wala hawa wanakwetu wasikusumbue akili, kura zote hizo zimetafutwa kwa jasho,mimi nafahamu ni kwa kuwa kuna siku nimekesha kuhakikisha tunaweka margin kubwa.
Ushahidi wa wapiga kura halali ninao.
watu8
Charminglady's Campaing Manager