Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
ujue Kipipi mi nilikuwa kimyaaa tangu mwanzo wa mashindano, hata kampeni sijampigia ila yakaanza majungu, ooooh C6 na watu8 tunachakachua matokeo, sasa ivi limeibuka la multiple ids, mkuu Invisible kalizungumzia vizuri hilo jambo lakini bado tu, nimeandika iyo comment sikuwa namaanisha charminglady anatumia multiple ids, nilikuwa najibu waliosema wanajua eti kuna multiple ids, sasa kama wanajua uo mchezo kwanini wasiutumie,
i guess this is the last time najibu comment za malalamiko kuhusiana na kura kwa charminglady....
mie uwa sipendi majibizano sana maana niko short tempered sikawii kutumia lugha zisizo na maadili na nikajishushia hadhi, so Kipipi i hope tumesomana ila kama hujanipata funguka au kama una dukuduku sema mama, maana baada ya charminglady kulitwaa taji hamtaruhusiwa kutoa malalamiko kwa Ruhazwe JR tena
Do me a favour, ningependa unaponiongelea usimhusishe charminglady for swali langu halikumlenga yeye wala wingi wa kura zake (TAFADHALI TUSIWEKEANE NOTION MBAYA COZ HAWA WOTE NI WAPENDWA WETU ILA TUMECHAGUA TU PA KUSIDE ILI SHINDANO LIKAMILIKE NOTHING MORE).
Hata swali langu halikulenga kwenu wala sijui mmechakachua, bali nimeongelea kura zilizopungua ndo nikawa nashangaa huyo aliyechakachua na multiple ids kiasi cha kupunguza kura zote hizo. (Sijui wewe umehusikaje hapo). Suala la multiple ids limeibuka tangu awali na ndo maana nikaongelea kwa upande huo(note; kwa upande wa kura za Arabela na si charminglady kama hasira zako zilivyokutuma), so kama kuna majungu wewe na mwenzio mliambiwa mnachakachua hayo hayanihusu hata ungenikasirikia na kutumia lugha mbaya wala nisingejali.
Sina dukuduku kwa charminglady ila nasikitika kwamba wewe ndo unajaribu kunifanya nionekane nina dukuduku bora hata ungenisingizia kwa mtu mwingine. SOO SAD!
Last edited by a moderator: