CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
daughter usisahau kuniwekea kafirigisi....teh teh teh
Daddy wewe tena.... me nakuandalia hivi....
daughter usisahau kuniwekea kafirigisi....teh teh teh
Mkuu kama unataka kufanya hivyo hakikisha kama watumia simu, iwe katika Desktop Version na sio Mobile Version...pindi itakapokua katika Desktop Version, pembeni ya kila mshiriki utaona viduara kama vishimi, hakikisha unachagua kile kilicho sambamba na charminglady halafu bonyeza VOTE kumpa kura yako binti yangu.
Kama watumia kompyuta chagua kiduara sambamba na jina la charminglady halafu bofya VOTE. Usimsikilize Baba V anakupotosha
nimeona kule umemtengea kitu cha biliani....hadi natamani nikakae ndan ya sahani maan kando ya sahani naona kama haitoshi
Naona ndani ya Jiji la Kijani...wakati wa sikukuu ni mwendo wa Mbalagha tu na mdudu pori.
C6 nimejaa tele kama pishi la mchele! Lol... Nipo hivo hivo kwa kubangaiza. I believe you are well and good.
Daddy wewe tena.... me nakuandalia hivi....
![]()
Lundenga vipi mbn unaenda kwenye vyumba vya mamis wetu kwa kuvizia..
huu ni wakati wa shostito of mine kushine na staki uchakachuuzi nataka hili taji limuendee charming lady kwakweli hata nyie oneni wenyewe.
Nilikua na tonsez but dasa naeza meza so ushind wa cl nshaumezea dawa tayari kwa savana.
Charminglady tu mimi hakuna mwingine
Mkuu nakushukuru saaana!!!!!
hivi mtoto umeolewa weye?ha ha ha! Mie nakubali tu sina jinsi kabisa. Tshirt iwe loose na ndefu basi... I love sneakers ziwe colorful. Mie kuna mmoja alisema ataniletea juba ndio namsubiri.
Hivi umemuona darling shem Asprin? Alitaka wake zake wote wawepo sijui haoni ingekuwa ugomvi?! Lol... Anapenda tiffu huyu baba.