Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Sijambo mie,nimekusoma shost Kipipi
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Sijambo mie,nimekusoma shost Kipipi
Usijali nishamaliza mchezoNatanguliza shukurani zangu za dhati.
Usijali nishamaliza mchezo
Waache tu wanajichosha hao, hawajui kuwa kila post yangu ina copy right, si ajabu ndo maana kura zao zinapungua kumbe ni Plagiarism inawaponza. Cheki walivyopangana hapo juu kama waliambiana, can't you guys invent your own ways of campaigning? No wonder tunawatimulia vumbi,aliyeanza kaanza
Nakwambia watu wana mikakati haooo . . . .
Mpaka ya magendo khaa!
tafadhali mpenzi kura kwangu jamani
Mbona tayari best
Mbona mna copy kwa Baba V then mnapaste kwenu na kuedit juu
Waache tu wanajichosha hao, hawajui kuwa kila post yangu ina copy right, si ajabu ndo maana kura zao zinapungua kumbe ni Plagiarism inawaponza. Cheki walivyopangana hapo juu kama waliambiana, can't you guys invent your own ways of campaigning? No wonder tunawatimulia vumbi,aliyeanza kaanza
Kura kwa Madame B ,miss jf chitchat 2012