Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Mbona naona kama kuna mshiriki kura zake zinapungua hapo juu? kuna virus nini??
Ruhazwe JR toa maelezo ya ziada...
 
AshaDii umeadimika sana dadaangu... upo?

hee?...Hiv inawezekanaje ukaacha msiba nyumban kwa alafu ukaenda kupiga story kwa jiran?...Umeelewa swali langu
 
Last edited by a moderator:
Ruhazwe JR naomba ufafanuzi..... kwanini kura zinapungua?????

copy to Invisible

Zinapungua?!.... Cl upo serious?.Yani zinapunguaje?Zilikua 9 alafu zinakua 7 au kivip?...Ujue mi nipo karibu na matokeo toka mwanzo,naona mnavyochuana na kutimuliana vumbi labda nieleweshe zinapungua kivip?
 
Last edited by a moderator:
Zinapungua?!.... Cl upo serious?.Yani zinapunguaje?Zilikua 9 alafu zinakua 7 au kivip?...Ujue mi nipo karibu na matokeo toka mwanzo,naona mnavyochuana na kutimuliana vumbi labda nieleweshe zinapungua kivip?

Huyu kashikwa na kizunguzungu tu, chezea Arabela weye? charminglady nilikushauri mama ujitoe utulelee kijacho ukakomaa,unaona sasa umeanza pandwa presha bure!
 
Last edited by a moderator:
Zinapungua?!.... Cl upo serious?.Yani zinapunguaje?Zilikua 9 alafu zinakua 7 au kivip?...Ujue mi nipo karibu na matokeo toka mwanzo,naona mnavyochuana na kutimuliana vumbi labda nieleweshe zinapungua kivip?

Jana zilikuwa 21 by the time napost hiyo comment.... ila sasa zimerudi 21 nini chaendelea????
 
Jana zilikuwa 21 by the time napost hiyo comment.... ila sasa zimerudi 21 nini chaendelea????

Jana zilikua 21 na sasa ni 21,inamaana hujapigiwa kura.Sema hukuangalia vizuri,nilichogundu ukiwa kwenye jf mobile zinaonekana kwa mawenge,mim mwenyewe kuna muda niliangalia nikaona kam vile et Remmy kafikisha 44 na Ciello kafikisha 22 nikastuka.Naamin hakuna ubadhilifu wowo,naiamin poll systerm kuliko chochote humu ndan.Shaka ondoa saka kura bila kuchoka.Nakutakia kila kheri ktk kuwania taji
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom