Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Nimeshindwa kupiga kura yangu ya siri
 
Nimeipenda hiyo mkuu,naomba uniambie namna ya kuwasiliana ili niwe miongoni mwa wadhamini.
 
Nimeipenda hiyo mkuu,naomba uniambie namna ya kuwasiliana ili niwe miongoni mwa wadhamini.

mkuu tuwasiliane jins ya kuwarilisha zawadi.ikisha kuwa mkononi mwetu/mwangu ndipo tunawafahamisha wadau na washiriki,tunawaambia umedhamin kias gan na tuna ongeza zawad
 
Charminglady nampa kura
kama haihesabiki mni prvt mnifundishe
BB angu through opera mini apa ndo imefika
 
Hapa kuna kitu kinafanyika hapa, sio bure na watu8 na C6 lazima wanajua

mi nshasema tangu awali, nyie mkijua huu sisi tunajua wa huku....(uo ni msemo tu) muongoze nyie tu akiongoza @cahrminglady mtu kachakachua, tena ni C6 na watu8 mh........... mnalo
 
Last edited by a moderator:
Ruhazwe JR mie nilitaka kuwa mdhamini ila since kuna mshiriki ambae anahusika kwa njia moja au nyingine na mimi na akishinda itaonekana kuna mambo yamefanyika ngoja nikae pembeni , ntadhamini kupitia bwana Chimbuvu
 
Last edited by a moderator:
Charminglady nampa kura
kama haihesabiki mni prvt mnifundishe
BB angu through opera mini apa ndo imefika

Fuatisha maelekezo haya;
1. Kwanza hakikisha kama unatumia simu basi
JF katika browser yako mathalani Operamin iwe katika JF Desktop version na si JF Mobile.

2. Baada ya hapo fungua ile link nilikutumia,
halafu ukifika katika huo ukurasa wa kupiga
kura, pembezoni mwa kila mshiriki kuna kama
kijishimo, hakikisha unachagua kishimo
kilichopo sambamba na jina la charminglady,
baada ya kuchagua bonyeza neno VOTE kupiga
kura yako.
Kama unatumia kompyuta basi fungua hiyo link niliyotuma awali, na fuatisha maelekezo namba 2.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom