Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,807
Mkuuu Ruhazwe JR ili kukwepa lawama next time unda kamati kama ile ya lundenga ili likitokea la kutokea ***** uangukie kamati...hivi kuna majaji?? kuna watu wanawaulizia sijui wanataka kupenyeza rupia?
Mkuu mambo!
vp ushapiga kura?
naomba kura yako plz.