Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Jana zilikua 21 na sasa ni 21,inamaana hujapigiwa kura.Sema hukuangalia vizuri,nilichogundu ukiwa kwenye jf mobile zinaonekana kwa mawenge,mim mwenyewe kuna muda niliangalia nikaona kam vile et Remmy kafikisha 44 na Ciello kafikisha 22 nikastuka.Naamin hakuna ubadhilifu wowo,naiamin poll systerm kuliko chochote humu ndan.Shaka ondoa saka kura bila kuchoka.Nakutakia kila kheri ktk kuwania taji

Kura zinapungua mkuu...by this morning charminglady alikua na kura 24 sasa ni 21.
Madame B alishafika 30, sasa ni 25....nahisi kuna mchezo unaendelea na nilishatoa angalizo hapo juu lakini hukutoa ufafanuzi...
Nini kinachoendelea????
 
Last edited by a moderator:
Ruhazwe JR, your excuses don't hold water anyhow...something must be wrong with the poll counter in your system...if you can't rectify the problem in time, the whole thing will be invalid na hakuna haki!!
 
Last edited by a moderator:
Ur right sijajua whats wrong jana niliacha mchana Madame B akiwa na kura 26,jioni kuchungulia ana 30, leo ana 25 duuuuh


Kura zinapungua mkuu...by this morning charminglady alikua na kura 24 sasa ni 21.
Madame B alishafika 30, sasa ni 25....nahisi kuna mchezo unaendelea na nilishatoa angalizo hapo juu lakini hukutoa ufafanuzi...
Nini kinachoendelea????
 
Last edited by a moderator:
Ur right sijajua whats wrong jana niliacha mchana Madame B akiwa na kura 26,jioni kuchungulia ana 30, leo ana 25 duuuuh

Ni kweli kiongozi, nilivyoona kura za Shem zimepungua ilibidi niulize lakini sikupewa jibu...labda sasa tutapewa ufafanuzi
 
Last edited by a moderator:
Naendelea kusisitiza kwa wote wanaozidi kuingia katika huu uzi,huu ni mpambano wa kumtafuta miss jf chitchat 2012,mpigie kura yako Madame B,
karibuni sana na tupige kura kwa wingi kwake Madame B.
Copy kwa snochet

Miss (pronounced /ˈmɪs/) is an English language honorific traditionally used only for an unmarried woman (not entitled to another title such as "Doctor" or "Dame"). Originating in the 17th century, it is a contraction of mistress, which was used for all women. A period is not used to signify the contraction. Its counterparts are Mrs., usually used only for married women, Ms. can be used for married or unmarried women

Sasa WALE WALIOOLEWA na wana watoto,au wenye watoto tu,wana-qualify kuwa mamiss,maana kuna wamama humu wana swagga za vijana.
 
Kura zinapungua mkuu...by this morning charminglady alikua na kura 24 sasa ni 21.
Madame B alishafika 30, sasa ni 25....nahisi kuna mchezo unaendelea na nilishatoa angalizo hapo juu lakini hukutoa ufafanuzi...
Nini kinachoendelea????

Takwimu hii si ya kweli,katu si Madame B wala charminglady hakuna aliyefikisha kura hizo.No,no!,no! Nakataa kabisa kwa nguvu zote
 
Last edited by a moderator:
Takwimu hii si ya kweli,katu si Madame B wala charminglady hakuna aliyefikisha kura hizo.No,no!,no! Nakataa kabisa kwa nguvu zote

Siwezi kuongopa, na ndio maana nimelisema hili hadharani....kama kuna watu wengine walioona hilo hakika wataniunga mkono.
Sasa kama wewe unakataa badala ya kusema utafuatilia hilo, basi sawa ila nina kila sababu ya kukueleza waziwazi hakuna mantiki ya hiki tunachokifanya kama kura zinazopigwa zinapotea bure.
Mimi nipo timu charminglady, lakini kasoro nilianza kuiona kwenye kura za Madame B, na nikaliweka bayana kwenye huu uzi...lakini hukutolea ufafanuzi. Leo asubuhi charminglady alishafikisha kura 24, lakini mida ya mchana kura 3 zikawa zimemegwa kutoka kwake.
Uzuri ni kuwa mimi watu8 ni mfuasi wa ICT, kuna kuna tatizo kwenye counter yenu ya POLLS maana pia kuna watu wananihakikishia kuwa wamepiga kura lakini sioni zikiongezeka hapo kwenye jedwari la uwiano.

Please please nakuomba tena fuatilia malalamiko haya na utoe majibu ya kueleweka sio uwe unakataa tu, kuna ukweli unaukwepa bro!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna mahali umesema Madame B alifikisha 30 utakuwa uliangalia vibaya kaka

Kaka mimi ni campaing manager nafuatilia kwa ukaribu kura za kila mmoja hapo....nafanya kazi kwa strategies, sasa hii mambo inayofanyika hapa si sawa na inapaswa mtu mmoja kuikemea.
Lucky enough mimi si mgeni wa Teknohama na systems admin
 
Last edited by a moderator:
Hapa chini ni takwimu wakati wapiga kura ni 100

attachment.php


Hapa chini ni takwimu wakati wapiga kura ni 100

attachment.php


Sasa waungwana Je mnaona kuna usawa?
 

Attachments

  • malalamiko.png
    malalamiko.png
    17.3 KB · Views: 16
  • malalamiko.png
    malalamiko.png
    17.3 KB · Views: 20
  • malalamiko.png
    malalamiko.png
    17.6 KB · Views: 57
  • malalamiko2.png
    malalamiko2.png
    20.2 KB · Views: 60
Ninaotaka wawe miss chit chat ni wengi....naomba ruhusu kuharibu kura

Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom