Inawezekana kabisa campaign manager wako akampigia kura mwingine.
Kumbukeni ile ya mrema hata kura ya mke wake hakupata looo
cc:washiriki wote looo
Usifanye mchezo na mambo ya uchaguzi,lolote laweza kutokea,Raza wa Zanzibar aliwahi kugombea akapata kura sifuri yaani hata yake mwenyewe hakuipata....
eti shem wangu @ Lara1 the dream team tunampigia nani?
Ngoja nikune meno kwanza, nitarudi baadae
da kipipi za siku? Ahsante sana jaman me love you mpnz