Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Lowasa mwenyewe akisimama anaanguka kama kuku la kideli halafu ashinde uchaguzi gani kiazi kweli wewe hatuongozwi na fisadi.

sasa mkuu mnapotuambia sisi wananchi lowasa Ni fisadi kwani sisi ndio mahakama au polisi. Kama mnaushahidi pelekeni mahakamani kwani mahakama ndio chombo pekee kinachotoa haki na kumtia hatiani mafisadi. Au siku hizi ccm imekuwa eneo la mahakama kwa kuwahukumu watu ndio mafisadi. Watanzania tupo tayar kuongozwa na rais fisadi hyo ndie tunaemtaka.
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Kwanini atashindwa?? Kumaliza kata 3200 tulia mtulizwe Zaidi ya hapo I thought ungesema makufuri angeishia njiani unamaanisha Lowassa huyu rais au yupo mwingine we tulia utaujua upepo wa raigwani mwaka huu
 
Huyuu nae na takwim zake sijui katoka wapi. Nyi subilini tu mzee EL. Asafu siasa ndo mtaifunga iyo midomo yenu
 
Pamoja mm ni pro-lowassa lakini post yako haina justification. Heading na body havina connection, ungesema kakubal kushindwa kwa sababu

1.
2.
3.
Sasa we unaleta porojo blaza, najua Eddo atashinda but next time unapoanzisha thread 'give monkey a banana'
Ni vema kuwakumbusha umhimu wa kujenga hoja, la sivyo wote mtaonekana vilaza.!
 
Mi huwa namuaona akiwa jukwaani akili yake haipo kabisa, anamuwaza EL, tu maneno yanamtoka bila mpangilio.

kama mtu aliambiwa kachukue form utamjua tuu kwa sababu hakuwahi kufikiria suala la urais,na mwaka huu atakuwa wa kwanza kuiangusha mcc. kule songea kwenye mkutano wa mcc wa kumnadi mgombea urais kuna mpambe ambaye anaaminika ni team lowasa lakini ameamua kubaki kimkakati alipima upepo akauliza ule umati kwamba NANI RAIS WA 2015? UMATI UKALIPUKA LOWAAAASAAAAAA! wote wanakampeni wakainamisha vichwa chini?

kwa hiyo inaonekana watanzania wanaenda kuangalia show za bongo fravour kwa sababu ya ugumu wa maisha kutoweza kwenda kumbi za starehe kuwaona LAKINI walishaamua kura kwa LOWASA
 
Wewe unadhani jana alivyokwenda kuomba msaada kwa maCCM wenzie kwanini? Hali ni mbaya jamani ulizeni wanaotembea na Magufuli watawaambia jinsi gani wananchi wanamkubali Lowassa na UKAWA.

kaka mi mwenyewe nimeshangaa eti anawaomba wakina mama waongee na vijana wao wasipige kula kwa hasira ya sije yakatokea ya libia na ,sasa nikajiuliza yanawezaje kutokea mambo kama yale wakati huu ni uchaguz?
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz
OK tunafisadi mmoja, CCM wako wangapi? Mpaka anaeondoka yuko kwenye list...atuendi kupiga kura kwa kuangalia usafi wa mtu bali chama(ukawa),ccm wametufanya wajinga muda mrefu, kila ufisadi wanalindana, ripoti za CAG kila mwaka ni madudu hatuoni watu wakichukuliwa hatua, kagoda, meremeta, escrow..yaleyale, sipati picha MAGUFULI atakapofika kwa joka la makengeza na kwa professa muhongo, mama tibaijuka, ngeleja, atawapigia debe??tunaenda kudelete mfumo fisadi na tulete katiba yakuondoa ufisadi kabisaa
 
kaka mi mwenyewe nimeshangaa eti anawaomba wakina mama waongee na vijana wao wasipige kula kwa hasira ya sije yakatokea ya libia na ,sasa nikajiuliza yanawezaje kutokea mambo kama yale wakati huu ni uchaguz?

Mimi mwenyewe nimeona nikajiulza ya Libya yanatokana wapi n kupiga kura. Ukiona kauli kama hizo n dalili za mtu kukata tamaa n kufeli. Mwendo mdundo lowasa mpaka magogoni.
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

kaka naona umegeuka akimu. Ehe embu tuambie ndugu lowassa aliukumiwa lini?

Na mahakama iliyothibitisha kwamba lowassa ni fisadi?

Hivi kati ya waziri mkuu na Rais ni yupi mkubwa?

NUKUU:
nilipokea maagizo kutoka juu: mwisho wa kunukuu,

sasa aliye kuwa juu ya lowassa ni nani?

Kaka usije cheza ngoma usiyoijua. Ishu ya richmond ni nzito. Mtakuja kuumbuka.
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Mafisadi asiliya yao ni chama gani? ukawa hawapo ndugu yangu, wameshasafishwa.
 
Mwaka huu lazima mpatwe wazimu. Anzeni kuangalia namna ya kujiajiri. Fedha za dezo mlizozoea ndio zinafika kikomo. Lazima maji muite mma.

MMODS ALLAN toboa siri yote maana mlikuwa wote kabla hujakubali mabadiliko. Vp kumbe mlikuwa mnaishia kwa buku 7 to.???
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Wewe pamoja na dada yako wote ni wapumbavu na hamna MAADILI ndiyo maana huyo mama NIMR alikatwa kwa kukosa maadili kama wewe.
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Unapinga kauli ya Mzee Ruksa wewe pale Jangwani au hukuielewa? Tafuta ufafanuzi umu kwenye forum maana imefafanuliwa vizuri mno.

Kwa kifupi Ruksa alisema si ruksa na haiwezekani mwanafunzi kumshinda mwalimu wake. Mwalimu wa ufisadi aliyebobea ni FISI WENU. Mkuu ufisadi uliotukuka ni ule amba CAG aliuthibitisha bungeni wa ukwapuaji wa mabilioni ya fedha za barabara. Sasa hivi mgombea wako anahaha na imetolewa amri kule TANROAD wahandisi wachakachue kwa vyovyote vile kuonyesha matumizi (hewa) ili kupindisha matumizi halisi.

Udalali wa nyumba za serikali unampa jina gani? Bila kusahau ujenzi wa mabarabara chini ya viwango vya ubora na upana kwa mujibu wa sheria za barabara (umeshapita barabara ya Kimara mpya ukapishana na lori au basi?).

Khaa! Kalaga baho na ubozi wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom