Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Hapo alipo muda huu anatamani hata kesho asubuhi kampeni hizi ziishe .Ile kiburi yake na maneno ya dharau kwisha kabisa. Hana kauli na kawa laini vizuri!!
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

ulishawahi msikia JK akisema Edo ni fisadi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom