Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Mapungufu ya magufuli ni maamuzi ya haraka nadhani washauri wake watamueka sawa

Nashukuru kwa jibu lako la kistaarabu.Nilidhani kuna atakayepokea kwa kukurupuka kama mzee wa maquantity aka less quantity kwenye ujenzi.Tunamuombea awe mwepesi kupokea ushauri asiwe kichwa jiwe tu.
 
Nashukuru kwa jibu lako la kistaarabu.Nilidhani kuna atakayepokea kwa kukurupuka kama mzee wa maquantity aka less quantity kwenye ujenzi.Tunamuombea awe mwepesi kupokea ushauri asiwe kichwa jiwe tu.


Pamoja sana.
Tupo ili tujenge
 
Mimi mwenyewe nimeona nikajiulza ya Libya yanatokana wapi n kupiga kura. Ukiona kauli kama hizo n dalili za mtu kukata tamaa n kufeli. Mwendo mdundo lowasa mpaka magogoni.

Alijizuia kulia lakini machozi yalikuwa yanamlenga.Edo alishawahi kutamka"Historia itawahukumu".Pia alisema "Kukaa kimya ni hekima kutoka kwa Mungu".
 
wote wenye akili wanalifahamu vizuri jambo hili , ndio maana wametulia tuli , humu kabaki mpiga kelele mmoja anayeitwa lizaboni tu .
 
Na kama mnataka mabadiliko hameni nchi.

Mabadiliko yatapatikana hapahapa nchini, labda muhame nyie wenye mawazo mgando. Mabadiliko hayakwepeki! Meli ishang'oa nanga, yapwelea kwenye bahari ya kina kirefu. ... Mamvi hoyeeee!!!

LOWASSA HOYEEEEEE!!!!!
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Statistics gani hizi wewe kubwa jinga?..siasa za sasa wewe huzijui bwana..tulia tu na jamaa zako kina rizi..msubiri huruma ya mh EL..unajua ni nani alihamasisha watu kujiandikisha? Unajua vijana ni asilimia ngapi ya waliojiandikisha?..unajua utandawazi umerahisisha sana mawasiliano kati ya miji na vijijini?..EL hana haja ya kupitia hizo kata zooote..influence kubwa ni kwenye mawasiliano na matv tu ambayo yametapakaa karibu vijiji vyote..nyomi za EL kwenye tv ni influence tosha ya kuzoa kura! Malocks ashashindwa kabla hata ya sanduku la kura tena mateema asubuhi tu..nadhani unawafurahisha waliokutuma maana mkakati wenu humu jf tunaujua..kila mtu anajaribu kutimiza wajibu wake lkn deep under you're heart you know for sure who is the winner!
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Mawazo yako ni finyu.

Magufuli ni fisadi aliye na maamuzi ya madaraka (yasiyo na tafakuri bali cheo).

Lowasa ni muadilifu aliye na maamuzi ya manufaa (+reasoning)

Reason basi na wewe kidogo.
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Hujielewi
 
Magufuli bila wasaniii na malori kwisha kazi
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

"Keyi jeyi"
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

SO kuna FISADI PAPA na FISADI DAGAA ?
Duh!
Tutasikia mengi mwaka huu
 
Mafisadi mahakama ya mafisadi yaja makafungwe haraka.

anaanza na mafisadi wapi? wa juzi, jana, leo au kesho! au amesahau kuwa naye yumo? tumeambiwa leo na hiyo bunduki yenu kuwa aliwahi kuhonga nyumba ya serikali kwa mchepuko!
 
Muonekano wake na kauli zake zinawavunja moyo Magamba wenzake, kiukweli Pombe kisiasa bado sana na huu ulikuwa siyo muda wake, amekabithiwa Mzigo mzito sana ambao hawezi kabisa kuubeba nahsi atautua njiani, kiukweli lowasa siyo size yake kabsa, size ya mr Pombe ni Dk Mihogo,na ndiyo mana kwasasa mr Pombe ndani ya Moyo wake amekubali kushndwa tayar, Namuomba rais Mtarajiwa wa JMT Mh E.Lowasa apange baraza la Mawazr kabs ili twende na Muda kwan Mr Pombe anatupotezea Muda tu coz amesha kubali kushndwa tayar!!

Propaganda hizoo sasa....kwa hiyo umeingia kweny Moyo wake ukajua hayo au lengo lako ni kuanzisha thread??? Hamna la maana hapo no ushabiki tu, afadhali niwake kura yangu tlp kuliko UKAWA.
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Hamna lolote la maana hapo...kama wanajiamini kuwa wameshinda si wasifanye kampeni?? Jeuri mitandaoni tu.
 
Huyo aliyeniambia anasema wanalazimika kwenda kwasababu ya kazi lakini mioyoni mwao wanajua apaswaye kupewa kura
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom