Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

sasa mkuu mnapotuambia sisi wananchi lowasa Ni fisadi kwani sisi ndio mahakama au polisi. Kama mnaushahidi pelekeni mahakamani kwani mahakama ndio chombo pekee kinachotoa haki na kumtia hatiani mafisadi. Au siku hizi ccm imekuwa eneo la mahakama kwa kuwahukumu watu ndio mafisadi. Watanzania tupo tayar kuongozwa na rais fisadi hyo ndie tunaemtaka.

Hahahahaha@ SIMBA45 umenipa msemo kesho naupeleka kijiweni....babu na nyinyiemu pelekeni mahakamni...heheheheee
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Hii ndo nasikia inajiita akili kubwa. Tulia sana ili uandike kitu kizuri ndugu
 
Tr 25.08 utaloa

25.08 mwaka upi...huu au uliopita....maccm mmna uwezo wa kurudisha siku nyuma....jamani mbona mnaweweseka na kucanganyika kiasi hiki...lowassa tu ndo anawachanganya kiasi hiki au kuna kingine...??
 
Lowasa mwenyewe akisimama anaanguka kama kuku la kideli halafu ashinde uchaguzi gani kiazi kweli wewe hatuongozwi na fisadi.

Alianguka wapi we gamba maana inaonekana unamjua EL kuliko Mama Regina?
 
Nimeambiwa jambo toka kwenye chanzo cha ndani hakika kama ndio hayo ccm inakwenda kufa.
Inasemekana kila halmashaur wameambiwa siku magufuli akipita waende kumshangilia na local itapita pia na tishart wamesha andaliwa tayari.
 
Hadi sasa ukichambua kisayansi Magufuli anao ushindi wa 87%.
 
Mkuu Malecela hukui tu??? Anyway mtu wa mabebez...........lemutuz
 
Nimeambiwa jambo toka kwenye chanzo cha ndani hakika kama ndio hayo ccm inakwenda kufa.
Inasemekana kila halmashaur wameambiwa siku magufuli akipita waende kumshangilia na local itapita pia na tishart wamesha andaliwa tayari.

mbona walishanza sku nyingi. Tena wanatumia magari ya umma kwenye kampeni za ccm, kama stj za halmashauri ndio kazi Yao. Wananchi wanachukia Sana hyo tabia kuona Mali za umma zinatumiwa kichama. Kwa mfano wila ya kilindi mkoani tanga mgombania ubunge kupitia ccm walisafirisha watu kwa magari ya serekali hususani za halmashauri,malori,Noah za abiria na bodaboda, kufika eneo la mkutano wanachi wakanzisha zomea zomea Ata wale waliobebwa nao wakanza kumzomea mgombea wa ccm.
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz
Nasikiaga ukoo wa Chigwe huwa mnamwota sana huyu jamaa, hivi aliwafanyia kitu gani?
 
Hizi kampeni ni formalities tu ila uchaguzi umeshaisha saa 1 asubuhi.
 
Na ukizingatia hata Dodoma alikuwa namba tatu. Kwa kuwa mgombea aliyekuwa wa kwanza kutamka atafanya Kazi na Lowassa wakati wanajinadi basi wakamkata na kuchukua namba tatu kwa kuwa namba mbili ilikuwa dhaifu. Kwa maana hiyo komeo halikuwa chaguo. Na atasindikiza tu.
 
Muonekano wake na kauli zake zinawavunja moyo Magamba wenzake, kiukweli Pombe kisiasa bado sana na huu ulikuwa siyo muda wake, amekabithiwa Mzigo mzito sana ambao hawezi kabisa kuubeba nahsi atautua njiani, kiukweli lowasa siyo size yake kabsa, size ya mr Pombe ni Dk Mihogo,na ndiyo mana kwasasa mr Pombe ndani ya Moyo wake amekubali kushndwa tayar, Namuomba rais Mtarajiwa wa JMT Mh E.Lowasa apange baraza la Mawazr kabs ili twende na Muda kwan Mr Pombe anatupotezea Muda tu coz amesha kubali kushndwa tayar!!
Ewe mjinga usiye hata na akili ya kunywa maji. Kati ya Magufuli na Lowassa nani kaishiwa pozi? Hilo li fisadi hata mdomo lazima asaidiwe kufungua na koleo. Bavicha! Ptu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom