Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

Mtoa hoja naona kama umefikia ukomo wako wa kufikiri...Akili ya Lowasa na ya kwako zinafanana...unaonekana wazi unamoyo wa kifisadi. TAR 25 OCTOBER Mtaisoma Namba

ww ndo uwezo wako wa kufkir na kuona umefia mwisho, sion mnakifanya zaid ya kusurura tu mikoan wakat ukweli mnaujua kwamba nafas yenu ya kushnda ni 0% now dayz mmekuwa kama watalii
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

Acha weee....Huko Yuko CHOONI....Na yeye ni CHo
 
Pamoja mm ni pro-lowassa lakini post yako haina justification. Heading na body havina connection, ungesema kakubal kushindwa kwa sababu

1.
2.
3.
Sasa we unaleta porojo blaza, najua Eddo atashinda but next time unapoanzisha thread 'give monkey a banana'
 
Pamoja mm ni pro-lowassa lakini post yako haina justification. Heading na body havina connection, ungesema kakubal kushindwa kwa sababu

1.
2.
3.
Sasa we unaleta porojo blaza, najua Eddo atashinda but next time unapoanzisha thread 'give monkey a banana'

Nimekuelewa mkuu!! Bt rais ni Lowasa
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

kwani magufuli keshaenda kata ngapi?
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

kuandika yenyewe hujui halafu unajifanya unajua anaefaa, watakufata wasiojua wenzako
 
Mi huwa namuaona akiwa jukwaani akili yake haipo kabisa, anamuwaza EL, tu maneno yanamtoka bila mpangilio.

Kweli kabisa....Magufuli jukwaani anamuwaza Lowassa tu hadi anapoteza kumbukumbu ya alichokuwa anaongea hahaaa
 
Wana jamii forum naomba kuuliza? Kuna mtu nmemsikia leo anaitwa magufuli, ivi ndo nani huyo?
 
25.08? ccm mnachanganyikiwa siku hizi

mkuu hali tete vyoo vya lumumba vina jam kinoma. Yaan matumbo joto mpaka wamesahau tarehe za uchaguzi. Lowasa Ni level nyingine na hyu ndio rais wetu WA hawamu ya 5. Twende na lowasa, pombe mwaga yote, lowasa ndie ufunguo WA makufuli.
 
na ile stail yake ya kukunja midomo kwa aibu..sasa mtu anaomba urais ana element hizo tutamwaminije km yupo sawa
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

mkuu kwa kauli zko Tu mnatia huruma na mnaonekana mmeshanza kukata tamaa. Lowasa ahitaji kwenda kila kata, kwani watanzania na wapo tayar kumchagua rais wao fisadi,lofa,kapi na mpumbavu. Watanzania tupo tayar kufanya mabadiliko, na Lowasa ndie kiongozi pekee atakaeleta mabadiliko ya kweli.
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Nadhani wenyewe sasa mmejionea gharama za ule upuuzi wa wabunge wa ccm unavyowagharimu. Mngekuwa mmetekeleza matakwa ya wananchi leo msingetumia nguvu kubwa kupambana na fisadi Lowassa. Matokeo yake huyo EL leo ndio sisi wananchi tumeamua kumpa kura kwa kuwa tumeamua liwalo na liwe
Mnahonga mpaka vijana waandamane lakini wapi, mmemtumia mpaka Slaa lakini mioyo ya wananchi bado migumu kwani sasa wameshatambua tatizo la nchi hii ni ccm. Huyo EL ni kwamba kalamba bingo kwani kaingia kwenye upande wa kilio cha umma. Jazeni makada na pigeni propaganda za kizee kwenye media, lakini safari hii kitakachowaokoa ni goli la mkono tu!!!
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz

We kiboko mwenyewe fisadi umekimbia mke na watoto,unalelewa..huna akili
Ni bora mnyamaze maana watanzia tumeamua kupambana na chama cha kijani....
 
Achaneni na ushabiki wakati hili jambo la mahakama ya mafisadi ni kitanzi kwa anayelitumia kuitafuta Palace.Kumbuka chama tawala ndio kimejaa watu hawa na endapo huyu mzee wa mahakama atapita atakutana na BUNGE TUKUFU lililojaa wapinzani wengi tofauti na vipindi vingine vya utawala.Sasa hawa wabunge wakiweka shinikizo kwake juu ya kuanzishwa kwa mahakama ya mafisadi kisha issues ikafanikiwa hamuoni kuwa atakuwa amejivisha kitanzi yeye na ndugu zake ambao wamo ndani ya serikali?Na ikiwa JK mwenyewe na uwezo wake wa kujilinda kwenye hoja na mashambulizi ya wapinzani bungeni amewahi kuvunja baraza la mawaziri mara kadhaa kwa shinikizo la wapinzani wachache.Hilo bunge lijalo ataliweza huyu mwenye hasira za sebuleni ambaye hajawahi hata kuongoza mtaa?Kwa kweli hapa Chama kilipoteza target lakini kwa sababu imeshatokea hakuna jinsi.Na hata kama mwenyekiti wa sasa akibaki kuwa mwenyekiti mamlaka ya bunge hawezi kuingilia kwa hiyo suala la maamuzi ya kukurupuka halitaweza kuepukika kamwe.Kwa kifupi huyu mtu hata apate matokeo ya ushindi bado hali ya chama haitakuwa shwari.Silazimishi mtu kukubaliana nami lakini tungoje tuone.



Mapungufu ya magufuli ni maamuzi ya haraka nadhani washauri wake watamueka sawa
 
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!

Le Mutuz
Duh mkuu na wewe bado upo? Watch out bro unamsema Rais wa JMT vibaya itakucost Nov 2015 take my words nitakukumbusha tarehe hiyo ikifika ama ukiwa muungwana sana utanikumbusha mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom