Nifah
Platinum Member
- Feb 12, 2014
- 34,418
- 82,373
- Ili kushinda uchaguzi Lowasa anatakiwa aende Kata 3200 kwa siku 52 zilizobaki, ni ndoto ya mwendawazimu halafu kumbuka alipo ndipo ilipo Chadema nzima, halafu Mnyika yupo wapi mbona hajamtetea boss mpya? Magufuli sio size ya Lowasa ni kweli mmoja ni FAISADI na mwingine sio, amua mwenyewe ni nani hapo FISADI PAPA!
Le Mutuz
Lowassa hata akiamua kusitisha kampeni kuanzia leo haitoathiri chochote kwani anajulikana nchi nzima tofauti na huyo Arincherema wenu.
Lowassa ni mwanasiasa mkongwe, huwezi kumfananisha na Magufuli anayejulikana mjini tu na vijiji vichache sana, tena vingi ni huko kwao chato.
Acha kujidanganya, subiri balaa la Lowassa ifikapo October 25.