MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Lowassa labda atashinda kwenye mashindano ya bongo movie sio uraisi. Mnakaa kujisifu lakini uchaguzi ukiisha mnakuja kutulilia humu jf. Kwa usalama wa mamvi ni bora akate ticket kabisa ya kukimbia nchi, lasivyo atamalizia maisha yake magereza.
Mwaka huu wizi wa kura sahauni. Lazima CCM iondoke. Halafu Lowassa aende jela kwa kosa lipi?
Washindwe kumpeleka miaka yote hiyo ije iwe leo?
Richmond lilikuwa ni deal la M.K.W.E.R.E. akili zako na za Dr.Mihogo ni sawa sawa.