Hiki kina uhalisiahizi nadharia hazina uhalisia kwa maisha ya kiafrika hasa kibongo
Jaribu kukisoma ni kanuni rahisi iliyotumowa babylon ya kale kujenga jiji la babylondah haya bana ila mm nataka uhalisia wa kibongo tena huku uchagani kabisa yaaani
Sokoni ilala au temeke au soko lolote kubwa nanasi kubwa ni 1000 ukichukua nanas zako 10 ukaja nazo kkooo kipande kidogo kimoja 200 kwenye nanasi moja hukos vipande 10 mpKa 15 hapo pia unaweza kutengeza juice ya nanasi ambayo pia watu wanaipenda kutokana na joto kaliHabari wandugu,
Napenda wasilisha mada hii tajwa karibuni tujadili maaa naona maisha sasa ya kukosa pesa yanatukaba koo sisi vijana tunaosubiri ajira za utumishi maana hata inaafikia hatua tunakosa laki 2 ya kukodi hekari za shamba ili kulima
Hivi vitabu vimeandikwa kwa kufanyiwa utafiti katika mazingira wanayoishi hao waliondika haviwezi kuwa applicable katika mazingira tofauti especialy Afrika. Tuache kukalili izo theory za wazungu.Pitia kitabu the richest man in babylon haraf uje unishukuru