Hakika Mkuu Kinachotakiwa afanye uchunguzi kwa kina na kwa hekima akishajiridhisha aende nyumbani kwa wazazi /walezi wa huyo mwanamke akajitambulishe kwa heshima
Hakuna mwanamke asiyetaka kuolewa lakini inatakiwa huyu jamaa awe na commitment kama amemuona huko mtaani kwake achukuwe hayo maamuzi, aachane na hawa wa mtandaoni wengi wana changamoto nyingi sana. Hasa wanaojifanya washiriki sana wa mada na waandishi sana.