Nahitaji mwenza

Point WENGI wanashoboka eti mtaani kwake mara domo la naseeb .

Popote MTU ANAPATA chake mwacheni atafute humuhumu watoto wamo
Acha kabisa kaka, nashangaa sana watu kubeza ilhali kila mtu ana njia yake ya kupata mwenza.
Iwe kazini, nyumbani, mtaani, kanisani, masikitini, mtandaoni kama mimi yaani popote.

Ila aloo napokea kashfa za aina mbalimbali.
 
Kumbe humu wanawake tunachangamoto na hamjawah sema πŸ€”
 
Mkuu nimepost, wewe ndo umekuja kureply, napokea ushauri wako but still unaniandama.

Shida nini?

Unataka kuolewa na una mtoto??
siwezi kuolewa mara mbili lakini pia siwezi kuolewa na broke guy hilo hata mabibi na mababu zangu watafufuka na kunitandika bakora,

Endelea tu kuchakura utampata wa kufanana nawe
 
Kaka pamoja na hicho kitengo kuna ndgu zako wanauliza kama kuna nafasi huku.

Hakika kimfaacho mtu chake mkuu
Nimependa jinsi ulivyorelax katika kujibu comment yangu yenye mlengo wa kukera, inaonyesha una uhimilivu wa kuishi na watu wenye tabia tofauti tofauti, nakutakia kila la kheri mwenyezi mungu akutimizie hitaji lako.
 
siwezi kuolewa mara mbili lakini pia siwezi kuolewa na broke guy hilo hata mabibi na mababu zangu watafufuka na kunitandika bakora,

Endelea tu kuchakura utampata wa kufanana nawe
Kuna kitu hakipo sawa kwako.

Asante kwa kushiriki, nimepokea maoni yako.
 
siwezi kuolewa mara mbili lakini pia siwezi kuolewa na broke guy hilo hata mabibi na mababu zangu watafufuka na kunitandika bakora,

Endelea tu kuchakura utampata wa kufanana nawe
Waja mna maneno...sasa jamaa Kawa tena 'broke guy'?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…