Nafikiria kuhama Catholic

Nafikiria kuhama Catholic

Pole sana. Mimi mwenyewe nna changamoto na Kanisa katoliki ambayo ni Asili ya wazazi wangu ila sio kwa sadaka. Mimi Yale masanamu na mapicha ya Yesu na Maria huwa yananikwaza sana.
Kwa ushauri wangu Bora ubaki katoliki ila uwe na itikadi zako za kutokufuata baadhi ya mambo yao. Maana hakuna dhehebu hata moja la kikristo lililokamilika 100%. Nimebahatika kusali madhehebu yote ya kikristo na nkakuta Yana mapungufu mengi sana.
Uislam upo smart sema niliona haunifai kutokana na sera zao na mafundisho waliopewa na mtume wao hasa kuchukia wasio waislam,kuuwa wasio waislam and some other complications.
Mimi binafsi nimeamua nibaki katoliki ila kuna mambo sitoyafuata mpaka naingia kaburini ambapo mojawapo ni kuamini au kuheshimu sanamu yeyote ile.
 
Mwanzo wa mwezi uwa wanataja baada ya sadaka ya kwanza. Muda wa vipaji, mf. Leo jumuiya flani italeta vipaji au familia fulani ina sadaka ya shukrani.. asubiri hizo, mbona zinakuwepo. Ni kwamba hajui au kusudi 🥹
Anafanya makusudi,
Shida yake Vinci Ile yeye kujiona special sana basi anataka kila mtu amuone hivyo.
Kama Ego haka katoto😂😂😂
 
Biblia haisomwi kama kitabu cha hadithi. Ukisoma kama kitabu kama kitabu cha hadithi utaona kimejaa contradictions. Ufahamu kuwa karibia kila andiko lililopo katika biblia, lina mazingira yake, kufuatana na hali iliyokuwepo kwa nyakati hizo.

Ukisoma kama kitabu cha hadithi unaweza kuishia kwenye mambo ya ajabu yaliyo kinyume kabisa na ne o la Mungu:
Unaona andiko kama hili:
1 Kor 14:34
Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.
Ukisoma biblia kama kitabu cha hadithi si utaishia kusema wanawake wamezuiwa kusema chochote ndani ya kanisa, yaani wasisali, wasiimbe, wasihubiri wala kutangaza?
Kuelewa hasa kilichokusudiwa katika andiko la Biblia kunahitajika sana kuelewa mazingira ya agizo, tafsiri kutoka andiko asilia, na maana ya kuabudu. Usipoyajua hayo utakurupuka na vitu vya ajabu. Ufahamu kuwa kuna Encyaclopedis kwaajili ya ufafanuzi wa kila mstari wa biblia.

Unachotamiwa kufahamu ni kuwa imekatazwa kuitengeneza sanamu na kuifanya Mungu wako,ukaiabudu. Wote wanaoitwa wakristo, hakuna walio na sanamu miungu.
Ijumaa kuu wanavyosemaga inafuata Ibada ya kuabudu msalaba huwa inamaanisha nini?!. Maana ndio ule muda tunaenda kubusu msalaba wenye sanamu anayesemekana ni yesu
 
Kwa ufahamu wangu kuhusu kanisa katoliki, kwanza halitoi baraka/maombi kulingana na kipato chako,haliuzi maji/udongo au chochote,lakini kubwa zaidi unatoa kadri ya uwezo wako, as long as unashiriki kikamilifu katika shughuli za jumuiya na kanisa,utapata huduma sawa na tajiri.


Hata uwe tajiri vipi na hushiriki kikamilifu na kufuata taratibu hakuna atakaekuzingatia
Ila linauza maombi. Yale maombi yanayoletwa na waumini huwa wanalipia ili yatangazwe.
 
Ellen G white mwenyewe alishakiri Hilo dude haliwezi kutetereka,miaka ya mbele sabato itasambaratika lakini Hilo dude ni mpaka ukamilifu Wa dahari!
Aliyefuma hilo dude alitulia asee !! Na huwa hawamuiti muumini hata angekua ana cheo gani duniani au humo humo kanisani !
Ndo maana namshangaa mleta mada 😂
 
Utakuwa sio kwanza wala wa mwisho kuhama Ila Kabisa litabaki kuwa Imara.
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
💪
 
Nina IDs nyingi kama wake wa King Mswati.

Legend joba.
Duh ! basi hauwezi hata kujificha maana ID ya Khanji kapoor style za uadinshi uke ule comments fupi zenye upuuzi ndani yake wa kuchekesha.

Mada kubwa unarahisha kimasihara, kwenye ID zote haujabadilika kitu ndio maana ingekuwa rahisi watu tuliosoma kwa Fidel Castro kujutambua . Umekuwa kama Busu la Kenge au Mcmillan de Maghayo maana yeye ni loose Nut hata aje na ID mpya kiasi gani hata ziwe 100 utazitambua zote kutokana na uandishi wake.

Ila Mimi nikija na vazi jingine mtu hawezi kunitambua kwa urahisi maana nabadilika completely
 
Duh ! basi hauwezi hata kujificha maana ID ya Khanji kapoor style za uadinshi uke ule comments fupi zenye upuuzi ndani yake wa kuchekesha.

Mada kubwa unarahisha kimasihara, kwenye ID zote haujabadilika kitu ndio maana ingekuwa rahisi watu tuliosoma kwa Fidel Castro kujutambua . Umekuwa kama Busu la Kenge au Mcmillan de Maghayo maana yeye ni loose Nut hata aje na ID mpya kiasi gani hata ziwe 100 utazitambua zote kutokana na uandishi wake.

Ila Mimi nikija na vazi jingine mtu hawezi kunitambua kwa urahisi maana nabadilika completely
Ukiona umenitambua nikiwa nimekuja kwa namna nyingine basi tambua kuwa una akili kubwa na kwamba umefaulu mtihani wangu, sasa hunabudi kuajiriwa nami.
 
Kama unamaanisha kweli kuutafuta wokovu kupitia injili aliyoiacha Bwana Yesu kwa ajili ya kanisa, nakushauri tafuta kanisa linalohubiri utakatifu bila kupepesa macho, wala kuumauma maneno. Kwa Tanzania kuna kanisa moja naona linaifanya hii kazi alioiacha Kristo vyema sana, linaitwa Kanisa Takatifu la Yehova, litafute popote ulipo ufungamane nalo.
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Elewa kanuni hii kwanza. Mwenye nacho huongezewa na asiye nacho hunyang'anywa alicho nacho

Hapo ulipo wewe mwenyewe jiweke katika hizo nafasi mbili kati ya mwenye nacho, au asiyekuwa nacho halafu majibu yake ndio majibu ya swali lako
 
Kwa ufupi tu kwa asiyekujua, wewe ni atheist leo umejifanya mkatoliki.
 
Kwa ufupi tu kwa asiyekujua, wewe ni atheist leo umejifanya mkatoliki.
Duuuhhh mimi ni atheist madame?? Mmmh mbona unanisingizia. Hukunijua miaka ya 2018 kipindi nikiwa nimejikita sana kwenye mada za kidini humu!
 
Back
Top Bottom