Kangosha
Senior Member
- Sep 18, 2023
- 139
- 266
Pole sana. Mimi mwenyewe nna changamoto na Kanisa katoliki ambayo ni Asili ya wazazi wangu ila sio kwa sadaka. Mimi Yale masanamu na mapicha ya Yesu na Maria huwa yananikwaza sana.
Kwa ushauri wangu Bora ubaki katoliki ila uwe na itikadi zako za kutokufuata baadhi ya mambo yao. Maana hakuna dhehebu hata moja la kikristo lililokamilika 100%. Nimebahatika kusali madhehebu yote ya kikristo na nkakuta Yana mapungufu mengi sana.
Uislam upo smart sema niliona haunifai kutokana na sera zao na mafundisho waliopewa na mtume wao hasa kuchukia wasio waislam,kuuwa wasio waislam and some other complications.
Mimi binafsi nimeamua nibaki katoliki ila kuna mambo sitoyafuata mpaka naingia kaburini ambapo mojawapo ni kuamini au kuheshimu sanamu yeyote ile.
Kwa ushauri wangu Bora ubaki katoliki ila uwe na itikadi zako za kutokufuata baadhi ya mambo yao. Maana hakuna dhehebu hata moja la kikristo lililokamilika 100%. Nimebahatika kusali madhehebu yote ya kikristo na nkakuta Yana mapungufu mengi sana.
Uislam upo smart sema niliona haunifai kutokana na sera zao na mafundisho waliopewa na mtume wao hasa kuchukia wasio waislam,kuuwa wasio waislam and some other complications.
Mimi binafsi nimeamua nibaki katoliki ila kuna mambo sitoyafuata mpaka naingia kaburini ambapo mojawapo ni kuamini au kuheshimu sanamu yeyote ile.