Nafikiria kuhama Catholic

Nafikiria kuhama Catholic

Kwamba!!??!!

Anafanya makusudi,
Shida yake Vinci Ile yeye kujiona special sana basi anataka kila mtu amuone hivyo.
Kama Ego haka katoto😂😂😂

Hapo aje alog in afute comments zote 🤣 au kaacha hiyo tabia? Akiii ni maajabu

Atakuja aanze kuwafokea mods kwamba kwa nini hawafuti comments za watu wanaomdhihaki.🤣🤣🤣

Ngoja tuone kama atajikaza kutofuta comments zake😂😂😂😂😂
Sasa mimi najionaje special??? Wanadamu mna maneno
 
Duh ! basi hauwezi hata kujificha maana ID ya Khanji kapoor style za uadinshi uke ule comments fupi zenye upuuzi ndani yake wa kuchekesha.

Mada kubwa unarahisha kimasihara, kwenye ID zote haujabadilika kitu ndio maana ingekuwa rahisi watu tuliosoma kwa Fidel Castro kujutambua . Umekuwa kama Busu la Kenge au Mcmillan de Maghayo maana yeye ni loose Nut hata aje na ID mpya kiasi gani hata ziwe 100 utazitambua zote kutokana na uandishi wake.

Ila Mimi nikija na vazi jingine mtu hawezi kunitambua kwa urahisi maana nabadilika completely
Kama Invisible Mafia
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Alihama MARTIN LUTHER KING, JR.


Wewe ni NANI????

😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

Sasa hapa unaaga ili UTAFUTWE ubembelezwe au nini???
 
Katoliki ni kama Bunge.. Wabunge wako pale kuwakilisha majimbo yao na wananchi wake, same to Katoliki muwakilishi wako ni Jumuiya.
Kanisa likianza kum appreciate mtu mmoja mmoja na utoaji wake sadaka, Misa itaisha saa ngapi?
Padri anaposema salini ili sadaka yenu na yangu ikubaliwe na Mungu Baba Mwenyezi uwa umesinzia? Zile baraka hapo hazikutoshi mkuu?
Asomewe misa ya pekeyake labda
 
Nilidhani unahama kwa mkanganyiko wa imani kumbe ni matoleo.

Mkuu sababu unataka ukiona wagonjwa na kusaidia yatima kanisa likutambue kwa namna gani yani??
Sio kwamba unafanya hayo kwa ajili ya nafsi yako??

Mimi nikienda kanisana michango ambayo siielewi huwa sitoi nakaa zangu tu, hujalazimishwa kufanya hayo.

Huko kwenye jumuia ndogondogo ndo wana michango balaa na mi huko wala sipo kabisa.

Ila kwa ninachoona unachokikimbia RC huko uendako utakutana nacho tena na tena.
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Kwani mpaka utuulize? Si wewe uhame tu? Na hautaona Padre yeyote anakuja kukuuliza, huo ndio uzuri wa Kanisa Katoliki
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Inasikitisha kuona bado unashikilia mpinga kristo aliejivalisha ngozi za kondoo. Hujachelewa ila ukihama kwenye uo upagani hamia kwa kristi tu usiende kwenye dhehebu lingine lolote.
Maana yeye ni mama wa makahaba na amezaa binti wakufanana nae
 
Kanisa ni moja takatifu, katoliki na la mitume.
Usiposadiki. Unaruhusiwa kuhamia.

Siku Maaskofu wengi wa Anglican wanaamia katoliki
Mtume nani aliwahi kuwa mkayoliki?
Wakatoliki waliua wakristo wangap unajua??
 
Kitu pekee nisichopenda Katoliki ni ile umefiwa/ umefariki na ukiwa sio mwana Jumuiya tena basiii, Padri hausiki kwenye mazishi yako.
Hapo tu ndio wamefanya ubaya.. maana watu wengine kila Jpl wako Kanisani, lkn Jmos yuko kazini inamfanya asifike wala kutambulika kwenyw Jumuiya.
Mungu aingilie kati, walegeze kamba hapo..
Inasikitisha sana mlipo. Yani bado haamjawahi kuujua ukristo.
Mungu hayopo wala hajawahi kuwepo katoliki. Wanaenda kwa sababu ni utaratibu tuu.
Lakini kamwee hayupo na wanajua hio
 
Inasikitisha sana mlipo. Yani bado haamjawahi kuujua ukristo.
Mungu hayopo wala hajawahi kuwepo katoliki. Wanaenda kwa sababu ni utaratibu tuu.
Lakini kamwee hayupo na wanajua hio
Thibitisha Mungu hayupo..
 
Thibitisha Mungu hayupo..
Marko 16:17-18
[17]Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;

[18]watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
 
Mathayo 11:17
[17]Tuliwapigia filimbi, wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.


Tunawaambia sana sanaa.
Ila wanamasikio lakini wahasikii.
Wanamacho na hawaoni
 
Back
Top Bottom