goswe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 4,880
- 5,752
Jitoeni kwenye dhehebu lolote.Muda wa magugu kujitenga na ngano umefika
Mmefungwa mafungu mafungu kwa ajili ha kuchomwa.
Ila ngano imewekwa ghalani. Nje ya hayo makundi makundi ya madhehebu.
Jitoeni kwenye dhehebu lolote.Muda wa magugu kujitenga na ngano umefika
Hujui maana ya kuabudu sanamu
Tumekutana tu duniani kila mtu afanye kilicho mletaJitoeni kwenye dhehebu lolote.
Mmefungwa mafungu mafungu kwa ajili ha kuchomwa.
Ila ngano imewekwa ghalani. Nje ya hayo makundi makundi ya madhehebu.
Niambie maana ya kuabudu sanamu ambayo umefungwa nayoHujui maana ya kuabudu sanamu
Ezekieli 33:7-9Tumekutana tu duniani kila mtu afanye kilicho mleta
Sasa yeye shida yake sio hiyo unayotaka wewe iwe mkuu, elewa mantiki ya mada.Ni heri uwe mkristo.
Japo mmechagua kuwa madhehebu
Tatizo halijaanza kwenye michango. Michango ni matokeo ya mfumo uliooza
Katika ulimwengu wa sasa, kuabudu sanamu mara nyingi hurejelea kitendo cha kuweka kitu chochote kuwa kipaumbele cha kwanza katika maisha yako kuliko Muumba. Ni pale ambapo moyo na fikra zako vinatawaliwa na kitu fulani kiasi kwamba kinachukua nafasi ya imani au maadili makuu.Niambie maana ya kuabudu sanamu ambayo umefungwa nayo
Unamjua vicar fil dei??Katika ulimwengu wa sasa, kuabudu sanamu mara nyingi hurejelea kitendo cha kuweka kitu chochote kuwa kipaumbele cha kwanza katika maisha yako kuliko Muumba. Ni pale ambapo moyo na fikra zako vinatawaliwa na kitu fulani kiasi kwamba kinachukua nafasi ya imani au maadili makuu.
Mali na Fedha: Kutafuta utajiri kwa njia yoyote ile bila kujali utu au uaminifu.
Umaarufu na Madaraka: Kutumia nguvu zako zote kupata sifa au mamlaka.
Watu: Kumfanya mwanadamu mwingine (kama kiongozi, mpenzi, au msanii) kuwa ndiye tegemeo lako kuu maishani.
SimjuiUnamjua vicar fil dei??
Amini amini nakuambia!!!Hi,
Happy New Year.
Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.
Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.
Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango
👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.
👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.
HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.
Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING
NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.
Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Hi,
Happy New Year.
Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.
Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.
Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango
👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.
👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.
HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.
Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING
NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.
Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Toka tu kama jinsi ulivyoingia, kama wazazi ndiyo sababu ya wewe kuwa huko hili swali lako la kichoko lielekeze kwao.Hi,
Happy New Year.
Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.
Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.
Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango
👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.
👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.
HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.
Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING
NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.
Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Uondoke tu, Unaweza kuanzisha dhehebu lako la UVCCM au WAROMA. Hustahili hata kujiita Da Vinci wewe ni mmatumbi tu wa kulipwa elfu 10 ili kuandamana, wakati Abdul na mama yake wanakula mabilioni ya Dollar. Siku akili yako ikirudi utaelewa......UNATUMIKA BROTHER.Hi,
Happy New Year.
Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.
Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.
Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango
👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.
👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.
HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.
Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING
NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.
Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Tuliobahatika kusali madhehebu yote tunamshauri abaki tu Katoliki.Nakazia hapa
Kote ni hivihivi me ata simshauri kuhama abaki tu na dhehebu lake