Nafikiria kuhama Catholic

Nafikiria kuhama Catholic

Muda wa magugu kujitenga na ngano umefika
Jitoeni kwenye dhehebu lolote.
Mmefungwa mafungu mafungu kwa ajili ha kuchomwa.
Ila ngano imewekwa ghalani. Nje ya hayo makundi makundi ya madhehebu.
 
Jitoeni kwenye dhehebu lolote.
Mmefungwa mafungu mafungu kwa ajili ha kuchomwa.
Ila ngano imewekwa ghalani. Nje ya hayo makundi makundi ya madhehebu.
Tumekutana tu duniani kila mtu afanye kilicho mleta
 

Tumekutana tu duniani kila mtu afanye kilicho mleta
Ezekieli 33:7-9

[8]Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

[9]Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.
 
1 Petro 4:18
[18]Na kama mwenye haki anaokoka kwa shida, yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi ataonekana wapi?
 
Ni heri uwe mkristo.
Japo mmechagua kuwa madhehebu

Tatizo halijaanza kwenye michango. Michango ni matokeo ya mfumo uliooza
Sasa yeye shida yake sio hiyo unayotaka wewe iwe mkuu, elewa mantiki ya mada.

Tatizo unaambiwa ni michango wewe unasema hamjui Kristo, sasa umehamia kwenye mfumo uliooza sio Kristo tena??

Mimi nimempa ushauri wa kuhama parokia, maana hamna mahali ataenda hamna michango, inazidiana uwezo tu.
 
Niambie maana ya kuabudu sanamu ambayo umefungwa nayo
Katika ulimwengu wa sasa, kuabudu sanamu mara nyingi hurejelea kitendo cha kuweka kitu chochote kuwa kipaumbele cha kwanza katika maisha yako kuliko Muumba. Ni pale ambapo moyo na fikra zako vinatawaliwa na kitu fulani kiasi kwamba kinachukua nafasi ya imani au maadili makuu.
Mali na Fedha: Kutafuta utajiri kwa njia yoyote ile bila kujali utu au uaminifu.
Umaarufu na Madaraka: Kutumia nguvu zako zote kupata sifa au mamlaka.
Watu: Kumfanya mwanadamu mwingine (kama kiongozi, mpenzi, au msanii) kuwa ndiye tegemeo lako kuu maishani.
 
Katika ulimwengu wa sasa, kuabudu sanamu mara nyingi hurejelea kitendo cha kuweka kitu chochote kuwa kipaumbele cha kwanza katika maisha yako kuliko Muumba. Ni pale ambapo moyo na fikra zako vinatawaliwa na kitu fulani kiasi kwamba kinachukua nafasi ya imani au maadili makuu.
Mali na Fedha: Kutafuta utajiri kwa njia yoyote ile bila kujali utu au uaminifu.
Umaarufu na Madaraka: Kutumia nguvu zako zote kupata sifa au mamlaka.
Watu: Kumfanya mwanadamu mwingine (kama kiongozi, mpenzi, au msanii) kuwa ndiye tegemeo lako kuu maishani.
Unamjua vicar fil dei??
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Amini amini nakuambia!!!

Popote, kokote, chochote, lolote, vyovyote ufanyavyo... kama hauna pesa ni ngumu kutoboa. Ukiacha kusali ukasema uambatane na marafiki wa kazini kwako, kama ni tia maji tia maji utakula ulikopeleka mboga. Baa, michezoni, mtaani na poppte pale utaonekana omba omba. Ni wachache sana wanathamini utu siku hizi
 
Wewe jiondoe tu . Kajiunge na kina Lucy wanaosoma "Wakilintho mstari wa 13 hadi wa 10.
Hulazimishwi kuwa Mkatoliki.
Kumbuka bakwata sio chombo cha waoslamu
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️

Katoliki ina miaka 2000 hama kesho
 
Hamna mkathoric hapa, tunasumbuliwa na shekh ubwabwa tu.
Et kwenye IBAADA ya MKESHA. nan kakwambia PADRE anasalisha IBAADA?
wew ni LIONGO.

Na iman huwez kuomba ushauri iman gan uwe.
Ili uwe iman gani fanya moyo wako unavokutuma, ndo utaishi kwa aman kuliko kwenda kanisan badala ya kwenda kusari kwa shida zako bali wew ulitaka viongoz wakuzingatie ili uwe nao karibu ili iweje.?

Na wew ni mchaw kwanin uwaonee wivu walio karibu na viongoz?
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Toka tu kama jinsi ulivyoingia, kama wazazi ndiyo sababu ya wewe kuwa huko hili swali lako la kichoko lielekeze kwao.
NB: Hongera zenu sana kwa maandamano ya amani kumfikishia Papa ujumbe wa malalamiko.
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Uondoke tu, Unaweza kuanzisha dhehebu lako la UVCCM au WAROMA. Hustahili hata kujiita Da Vinci wewe ni mmatumbi tu wa kulipwa elfu 10 ili kuandamana, wakati Abdul na mama yake wanakula mabilioni ya Dollar. Siku akili yako ikirudi utaelewa......UNATUMIKA BROTHER.
 
Unadhani kanisa ni mchango wako? Unaweza chagua kuhama au kuacha kabisa kusali, popote Kuna michango hata kwa wanganga Kuna michango mikubwa na mi
 
Nakazia hapa
Kote ni hivihivi me ata simshauri kuhama abaki tu na dhehebu lake
Tuliobahatika kusali madhehebu yote tunamshauri abaki tu Katoliki.

Akitaka mambo ya maombi sana
Katoliki Wana fellowship yao wanajiita charismatic..wanapiga maombi balaa.

Sasa sijui Yeye anataka nini.
Kutangazwa kwamba amesaidia Yatima,wajane
Hakuna kanisa ataenda litamtangaza.
 
Back
Top Bottom