The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 7,790
- 25,551
Hapo juu umeandika vizuri sana but usiupotoshe umma hapo nilipo-bold,Imani Katoliki inamjali yeyote ikiwa tu alijijali yeye mwenyewe alipokuwa hai kwa kufanya yale yanayompasa.Mawazo chanya tayari unayo. Sadaka zako elekeza kwa wahitaji, mfano wafungwa, wagonjwa, yatima, wajane na wazee maana hii ndiyo ibada inayomfurahisha Mungu wa Mbinguni. Na ukiishi hivi Mungu mwenyewe atakuinulia watu na marafiki wapya wengi sana. Lkn ukitaka kuzikwa vizuri kwa mapambio na jeneza kupelekwa kanisani na misa ndeefu... basi wekeza sadaka zako kwa ma padre na viongozi wa kanisa. Amua tu unataka lipi ?
Kuwa muumini hai kwa kuhudhuria jumuiya ndogo ndogo,(hata kama hatoi hata cent moja) na kutoa zaka hata mara moja kwa mwaka,zaka ni msingi wa imani kwa sababu unaonyesha shukrani kwa Mungu unayeamini ndiye amekupa mafanikio so acha kudanganya watu kuna kuwekeza hela Kanisani ili upewe heshima hata uwe nani hutekelezi imani utazikwa kama walevi wengine tu