Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

4FEA179A-D30B-4E27-9D6F-B266C47B8B26.jpeg
 
TANGAZO TANGAZO TANGAZO
JOXY ANNOINTED MEDIA Inatangaza NAFASI YA KAZI kwa kijana mwenye sifa Zifuatazo :-

1. Awe ameokoka
2. Awe mwaminifu
3. Awe mwenye bidii na mbunifu
4. Awe anajua kutumia computer
5. Itapendeza sana akiwa anaidea ya kutumia camera na Printer/awe tayari kujifunza camera na printing.
6.Awe anajua graphics.
7.Awe tayari kuishi ARUSHA

nicheki kwa namba Zifuatazo
0744626877/0616926877.

Malipo maelewano,,
Ameokoka 😁 , hiyo requirement inaonekana iko kinyume cha sheria chini ya labor laws
 
Nahtaji binti wa kazi guest , asizidi miaka 28, awe very smart mshahara maelewano, location, Dar es salaam ✔️call 0749234577
 
Nahtaji dada wa makeup, kuwaongoza na kuwafundisha wanawake kama mia moja, atasimama kama Mwalimu, call 0749234577
 
Nahtaji dereva bajaji, awe na kibali yaan leseni ya udereva, awe mkazi wa Dar es salaam, Aje tuelewane, call 0749234577
 
Nahtaji waliosomea business administration or marketing, kufanya kazi katika taasisi, hapa Dar es salaam, uwe na umri wa miaka usiozidi 30, call 0749234577
 
Nahtaji walinzi watano, kufanya kazi , location Dar es salaam,,call 0749234577
 
Vijana wawili wa kiume wajiunge na team ya sales. Generators and spare parts

Electric 💡 and mechanical engineers Technicians
 
Walinzi wanahtajika, mshahara kwa mwezi sh.180,000, vigezo , uwe na kitambulisho Cha Nida, picha Yako full, na majina ya watu wawili na namba zao watakao kudhamini, Dar es salaam, call 0749234577
 
Tangazo wanaitajika waudumu 10 jinsia ya kike wa vinyaji Bar / 🍺 location Dar es salaam 📍KIBO
✔️sehemu ya kulala ipo
✔️💰 mshahara 90k
 
Kwa watu walioko Mbeya,nahitaji mdada asiyezidi miaka 27 huku chunya. Kuna kazi ya hotelini..... Mshahara 150,000/= kulala na Chakula juu yangu. Posho zipo mara chache lakini
 
SECRETARY📌 MZURI NA MZOEFU NA ANAYEJUA VIZURI COMPUTER 📍NA ANAYEWEZA MAJUKUMU YAKE ANICALL 0749234577
 
NAHTAJI MWALIMU MZURI WA NURSERY NA MZOEFU, MSHAHARA SH.300000 HADI SH.350000, ENEO LA KAZI GOBA CENTER , CALL 0749234577
 
TUNAITAJI MD KUFANYA KAZI LOCATION 📍 KIGAMBONI DAR ES SALAAM MSHAHARA MAELEWANO WEWE NA BOSS KWA YOYOTE ANAYE FAHAMU MD ANICHEKI 🤙 CALL 0749234577
 
HIRING: MEDICAL OFFICER

Location: Mbagala, Dar es Salaam

We are looking for a qualified Medical Officer to join our team.

Requirements:
  • MD degree
  • Registered with the Medical Council of Tanganyika
  • Valid practicing license
  • Clinical experience is an added advantage

How to apply:
Send your CV to info@maulyhospital.co.tz
Deadline: 21st May 2026
 
ROYAL OVEN BAKERY JOB VACANCY

We are looking for a creative Sales & Marketing person with experience in:

  • Content creation
  • TikTok/Instagram marketing
  • Graphic design & video editing
  • Sales & promotions

📍 Dar es Salaam
💰 Salary: 350K–400K + performance bonuses
☕ Tea & lunch provided

Send CV + work samples to:
📩 adrian@royaloven.co.tz
 
Anahitajika secretary mzoefu, aliyesomea kazi secretary duties, awe mjuzi wa computer 🖥️, shule ya English medium, mshahara sh.200000, location Dar es salaam
 
Anahtajika Mtaalamu wa Maabara Lab tec,💊 anicall 0749234577
 
Back
Top Bottom