Ameokoka 😁 , hiyo requirement inaonekana iko kinyume cha sheria chini ya labor lawsTANGAZO TANGAZO TANGAZO
JOXY ANNOINTED MEDIA Inatangaza NAFASI YA KAZI kwa kijana mwenye sifa Zifuatazo :-
1. Awe ameokoka
2. Awe mwaminifu
3. Awe mwenye bidii na mbunifu
4. Awe anajua kutumia computer
5. Itapendeza sana akiwa anaidea ya kutumia camera na Printer/awe tayari kujifunza camera na printing.
6.Awe anajua graphics.
7.Awe tayari kuishi ARUSHA
nicheki kwa namba Zifuatazo
0744626877/0616926877.
Malipo maelewano,,