Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

TANGAZO ANAHITAJIKA KIJINA WA CAR WASH AMBAYE MZOEFU WA KUTUMIA MASHINE 🥌YA KUOSHEA MAGARI🚗🚌🚚 NA AJUE KUOSHA MAGARI VIZURI ✅AWE MUAMINIFU
✅AWE ANAOFU YA MUNGU
LOCATION 📍GOBA NJIA 4 DAR ES SALAAMU MSHAHARA MAELEWANO NNA BOSS NICHEKI CHAP 0749234577
 
DATA ANALYST,,,,,,,,,📌 LOCATION DAR ES SALAAM 4 YEARS OF EXPERIENCE WITH A BACKGROUND OF DATA,,,,,TECHNICAL SKILLS,,,,, CALL 0749234577
 
Tunaitaji secretary Aliye somea na mwenye✔️ experience ya kufanya kazi shuleni ✅Awe Anajuwa software na michoro Shule iko 📌 kimara 💰300k mshahara 🏃‍♀️nicheki chap kama unavigezo Call🫟0749234577
 
Tunaitaji mwalimu wa mathematics ✅ mzoefu kufundisha shule ya English medium mshahara 💰600k location 📌 Kimara CALL 0749234577
 
Mwalimu wa Mathematics📌 location 📍Goba center✅ Awe mzoefu mshahara💰 400k , 500k Call 0749234577
 
POOL TABLE Anaitajika Kijana pool boy mwenye uzoefu 💰mshahara maelewano na boss locations📍 Mbezi Beach
 
3E91D2D0-F898-42DF-8D07-29D9B8988F01.jpeg
 
😂😂Nilichelewa kuiona hi thread, nmekuja kuona matangazo yalokuwepo yote yalikuwa Tyr deadline ya kuapply ishaisha, na yaliyopo yapo irrelevant na profession yangu, nikaamua kusubscribe ajabu hakuna matangazo tena🙌😃
Eenh...
Au kuwa jobless ndo kazi yenyewe, nyieee😄😄🚫
 
😂😂Nilichelewa kuiona hi thread, nmekuja kuona matangazo yalokuwepo yote yalikuwa Tyr deadline ya kuapply ishaisha, na yaliyopo yapo irrelevant na profession yangu, nikaamua kusubscribe ajabu hakuna matangazo tena🙌😃
Eenh...
Au kuwa jobless ndo kazi yenyewe, nyieee😄😄🚫
kazi juu ya kazi 🙌🏾
 
😂😂Nilichelewa kuiona hi thread, nmekuja kuona matangazo yalokuwepo yote yalikuwa Tyr deadline ya kuapply ishaisha, na yaliyopo yapo irrelevant na profession yangu, nikaamua kusubscribe ajabu hakuna matangazo tena🙌😃
Eenh...
Au kuwa jobless ndo kazi yenyewe, nyieee😄😄🚫
Mm hata nikionaga tangazo linalonihusu na na limekuwa deadline, Hua Naomba hvy hvy, watajua wnyw Huko
 
😂😂😂Ngj nifanye hivyo sehemu moja
Na fuata masharti yote walioweka kwenye kuomba hy kazi, usije ukasema kwakuwa imepitwa Na wakat hvy ngoja nitume kwa kubahatisha hvy nisiandae application zangu serious.

Ukisikia ujobless Ndo hvy, unafungua mlango ulioandikwa closed Ili ujaribu bahati Yako.
 
Back
Top Bottom