We komaa na mambo ya kusoma uone kitakavyokulamba! Vua gamba liweke pembeni kwanza ukomae kimtindo! Mshahara kuanzia shingapi unataka?Na zile ambazo hazihitaji elimu ya chuo pia usisahau kutuwekea, mm siielewi h elimu yangu ya chuo naona nainifaidishi
Kuanzia 300,000We komaa na mambo ya kusoma uone kitakavyokulamba! Vua gamba liweke pembeni kwanza ukomae kimtindo! Mshahara kuanzia shingapi unataka?
Ntafatilia, nisaidie na ww 😎Omba sales orca deco wanalipa 350k nilishawahi kufanya!
Unyama unyamani 🤝Hiyo ukiomba leo kesho unaanza kazi! Halafu kuna link ntakutumia ujoin group la WhatsApp wanatuma kazi nyingi tu!
Seran naitaji hii link mkuuHiyo ukiomba leo kesho unaanza kazi! Halafu kuna link ntakutumia ujoin group la WhatsApp wanatuma kazi nyingi tu!
Watasup linksIngia instagram search orca deco Utaona tangazo!
Bro jiongeze aisee, mbona maelezo yake yameeleweka, kama maelezo madogo kama hayo unashindwa kuelewa, utaelewa kazi kweli mkuu?Watasup links
Ah kudadeki 😂Na wanavyojua kufukuza watu pale atajua hajui🤣
Nimepitia Ila sijaona inayoweza kunifitUmeshatuma cv?
AminiaBro jiongeze aisee, mbona maelezo yake yameeleweka, kama maelezo madogo kama hayo unashindwa kuelewa, utaelewa kazi kweli mkuu?