Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

D682FB80-0FB3-41D1-9B25-866A7F57B84F.jpeg
 
You are invited for an interview in our office at Mbezi beach,kwa zena next to Nelly’s inn Hotel in Dar es salaam at 9am in the morning for courier position on saturday 28th March 2026

Please call my supervisor for directions we shall meet there
+255 65 471 8998 - Jackson Elisamehe


Prepare the following documents;

1. Barua kutoka kwa serikali ya mtaa
2. ⁠CV
3. ⁠Copy ya Tin
4. ⁠Copy ya Nida
5. ⁠copy ya bank account
6. ⁠copy ya NSSF
7. ⁠copy ya vyeti vya chuo
8. Passport Photo
9. ⁠Copy of driving license


Having a motorbike or Guta will be an added advantage. Please confirm availability
 
Nnatangazo la kazi wanatakiwa watu wa nne madereva boda boda au bajaji ya mizigo wenye Leseni ya Udereva kazi ipo Dar es salaam.
Ni ya kufanya Delivery ya parcel znazotoka mikoani
 
TANGAZO LA KAZI

SANARD HOTEL- MULEBA, KAGERA

RECEPTIONIST 2 POST


1. SERVICE 2 POST

Wanahitajika Wahudumu (Services) 2 Ke & Me kufanya kazi SANARD HOTEL iliyopo *Muleba- Kagera. Mwombaji awe na Elimu ya cheti na kuendelea katika kozi ya Hotel Management na Utalii au yeyote inayofanana na hii.

Umri: Miaka 18 -25

Mshahara: 100,000/=


2.RECEPTIONIST - 2 POST

Elimu kuanzia Diploma na kuendelea katika kozi yoyote. Mwenye kozi ya Hotel Management/Tour Guide atapewa kipaumbele.

Umri: miaka 18 - 25

Mshahara: 140,000/=

CHEF - POST 1

Awe na Elimu ya mapishi na mwenye uzoefu katika mapishi ya vyakula mbalimbali vya ndani na vya kigeni.

Umri : Miaka 18 - 35

Mshahara: 200,000/=


Hotel inatoa chakula na Malazi kwa Wafanyakazi.

Mwombaji Tuma CV yako kwa Email: sanardhotel@gmail.com AU WhatsApp No. 0747221767

Mwisho wa kutuma maombi ni tar 31/03/2026.

Mwombaji soma vizuri na kuelewa Tangazo ili kuepusha usumbufu.
 
GENESIS SPA AND MASSAGE

Tunatafuta wadada wa kufanya kazi ya massage kwenye spa yetu.
Hata kama huna uzoefu, utapewa mafunzo bure!

Vigezo:
• Awe na umri kuanzia miaka 18+
• Awe msafi na mwenye kujiheshimu
• Awe na tabia njema na anayejua kuhudumia wateja vizuri
• Awe tayari kujifunza

Faida:
• Mafunzo yatatolewa
• Mazingira mazuri ya kazi
• Kipato kizuri kulingana na juhudi zako

Location: Dar es Salaam

NB: Tuma picha 2 (full na half) pamoja na majina yako kamili.
Usipige simu, tuma ujumbe tu.

📞 0716340526

Karibu sana kujiunga na team yetu
 
Habari Thom
Nahitaji binti wa kazi ya duka la sofa (showroom)
Location tabata segerea
Umri kuanzia 18
Ajue kujieleza (bila aibu)
Msafi

Akitokea maeneo jirani itakua rahis zaid
0759296912
Whatsap tu.
 
Hello dear naomba nitangazie nahitaji mtu aliyesomea certificate au diploma y’a animal health kwa ajili y’a duka la kilimo n’a mifugo lipo maeneo y’a madale.
Atume CV WhatsApp kwa no 0785201165
 
We’re currently looking for accountant:
2+ yrs working experience
Female encouraged to apply.
Oil & Gas sector
Dar es salaam
Share your Cv via 0756852862
 
We are loookig for IT OFFICER with experience of more than 3 years, qualification bacherol degree IT,computer science,software engeneering and other related.experinced with SAP and FICO and computer software in gerneral.please share your CV through watsap 0626461795.
 
Job : Sales Specialist (Selling of loan devices - Phones and Routers)
- Moga Technologies Tanzania (30)

Area of work : (Dar es salaam)

Duties & Qualifications

• ⁠Ability to convice customers
• Skill to communicate well with customers
• ⁠Ability to achieve individual targets as assigned by your supervisor
• ⁠Both Genders
• All levels of education are encouraged to apply

Added Advantage
• Knowledge & Experience in sales will be an added advantage


Mode of payment: Commission
Minimum 30k up to 50k per device

Send your CV via whatsapp
Whatsapp: +255 658 999 990

Deadline: Monday , 6th April 2026 - 1900Hrs

Date of Interview: Wednesday 8th April 2026 - 1000Hrs Mwenge


MOGA , Device Financing just got easier
 
Nahtaji Matron wa Shule ya primary English medium ipo KITUNDA, Awe na elimu angalau form four na kuendelea, shule ipo KITUNDA DAR ES SALAAM, Mshahara maelewano, call 0749234577
 
Wanahitajika wakalimani wakichina 3
Aina ya kazi:Mgodini,uliopo
shinyanga
Mshahara,Basic:1,300,000/=(Excluding overtimes)
Incentive nyingine kama
Food+Accomodation utapatiwa ndani ya mgodi.
Vigezo
-Awe na uzoefu usiopungua mwaka mmoja ktk kampun ya kichina.
-Cheti alichosomea hiyo course yakichina.
-Asiwe na historia ya uwizi au ubadhilifu wa mali za kampuni alizowai kufanya kazi.
Kwa maelezo zaidi nipigie
0769033085
 
Urgent Job Vacancies

We are inviting applications from qualified and dedicated professionals to fill the following positions :

Project Plan officer-1

Assistant Project Plan -1

Business Development-1

Customer service specialist – 2

Secretary – 1

Application Deadline: 12 April 2026


Submit your Cv and Application Letter to
+255 695 171 020

promptly, clearly stating:

The position you are applying for

Your current location (e.g., Mwanza or Mbeya)

shortlisted candidates will be contacted. Late or incomplete applications will not be considered.
 
Anahitajika mdada wa kazi nyumbn kwa wachina kazi kwenda nakurudi kureport 1:00 asubh kutoka 11:00 jioni kazi kila siku
Location: Sinza mapambano
Mshahara: 350,000/= kwa mwezi
Awe msafi na muonekano mzuri
Awe anajua kupika vzr kuhusu kupika chakula cha kichina watamfundisha wenyewe
Mawasiliano 0762324355
 
Back
Top Bottom