Kama Magufuli na Dotto James wanavyokausha hazinaAkigombea Urais atashindwa kuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Mbowe ni Mchagga na anajua umuhimu wa fedha
Kama Magufuli na Dotto James wanavyokausha hazinaAkigombea Urais atashindwa kuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Mbowe ni Mchagga na anajua umuhimu wa fedha
Ulichokiandiaka hata hakihitaji kujibiwa lakini kwa faida ya wengine ambao hawawezi kufikiria zaidi ya mipaka ya matumbo yao na mirengo ya kisiasa kama wewe naomba nikujibu.Yani kama kwa kauli hiyo alikuwa akimuhusisha Sumaye vile tu alitaka kuitumia haki yake ya Kidemokrasia.
Basi tuseme ukweli alivuruga mnoo..
Yani katika nyakati hizi ambapo tunaelekea kileleni amechemka.
Kifupi kashapoteza pambano.
Sad.
Amekuwa akihubiri demokrasia lakini kwa hili hata Mimi sijapenda mungu anamuona !1992-haijulikaniYani kama kwa kauli hiyo alikuwa akimuhusisha Sumaye vile tu alitaka kuitumia haki yake ya Kidemokrasia.
Basi tuseme ukweli alivuruga mnoo..
Yani katika nyakati hizi ambapo tunaelekea kileleni amechemka.
Kifupi kashapoteza pambano.
Sad.
Anaweza kuwa amepoteza pambano lakini vita inaendelea. Tutafika tu tena kwa Ushindi mkubwa.Yani kama kwa kauli hiyo alikuwa akimuhusisha Sumaye vile tu alitaka kuitumia haki yake ya Kidemokrasia.
Basi tuseme ukweli alivuruga mnoo..
Yani katika nyakati hizi ambapo tunaelekea kileleni amechemka.
Kifupi kashapoteza pambano.
Sad.
ZERO?!!!!Ni kitu gani cha kustaajabisha kwa Sumaye kutoelewa mambo? Akiwa waziri mkuu alikua akiitwa zero. Acahana nayule zero wa gazeti la Mtanzania.
Huenda wewe ndio hukumuelewa mzee Sumaye
Hakumnukuu yeyote huenda wewe umejaribu kulazimisha iwe amemnukuu Mbowe