Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,775
So predictable. Japo Jombaa anapoint za msingi sana na hii ndio ilikua baba lao.
"Niliamua kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa ili kuuthibitishia umma kwamba sio kweli kwamba nafasi ya uenyekiti Ni kwa ajili ya Mbowe tu" lakini yajayo yalifedhehesha, wamechukua wajumbe na kuwaficha hotelini na kuwapa rushwa.
Alinena mnenaji kwamba, HAIWEZEKANI KILA MTU AKAWA ANASEMA WEWE MBAYA UKIAMUA KUJITAFAKARI UTAGUNDUA KWAMBA NI KWELI JAPO UNAWEZA USIWAAMBIE WATU.
"Niliamua kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa ili kuuthibitishia umma kwamba sio kweli kwamba nafasi ya uenyekiti Ni kwa ajili ya Mbowe tu" lakini yajayo yalifedhehesha, wamechukua wajumbe na kuwaficha hotelini na kuwapa rushwa.
Alinena mnenaji kwamba, HAIWEZEKANI KILA MTU AKAWA ANASEMA WEWE MBAYA UKIAMUA KUJITAFAKARI UTAGUNDUA KWAMBA NI KWELI JAPO UNAWEZA USIWAAMBIE WATU.