Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,850
Hiyo code mbona rahisi tu kuifungua[emoji4]Aiseee mimi nikimtaja hapa nahisi hali ya hewa itachafuka! Maana kwanza hata yeye mwenyewe hanikubali wala nini ananionaga mizinguo tu!
Huwa tunaquotiana mara moja moja kwenye uzi wake fulani hivi! Ila kwenye mada kama hizi za haki sawa huwa hanikubali na alishaniponda mara kadhaa!
Hii code kwa atakayeweza kuicrack wallahi nampa hela maana sijawahi kuonesha kama namkubali! Lakini mind you nimesema siyo kimapenzi namkubali tu kama rafiki na kaka!
Tofauti kati ya mimi na wengi ni kwamba wengi wanaanza kuwacrush watu then as time goes wanaanza kuwaona wa kawaida! Ila mimi huyu nilianza kumuona wa kawaida ila as time goes ndiyo nikaanzaga kumcrush!
Ni vile sitaki tu kuifungua faster