My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Mweee ila mimi nilishaanza nadhani
Anaanzia na dabiliu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mwee hebu na wewe otea labda,maana uko vizuri sana..tunaweza jikuta wote tumepatia kama kinsi tulivyyootea kwa mtoa mada.
Hahahaha huyo ni kaka yangu kipenzi kabisa jamani naye namkubali sana! Ila huyo tunafahamiana sasa huyu crush wangu hatufahamiani hata pm hatujawahi enda!

Halafu kuna uzi aliwahi kusema yeye anapenda date wadada wembamba ndiyo type zake! Nikajisemea mwee mimi na ukibonge huu atataka hata urafiki na mimi kweli!
 
Nawaomba mods wafunge huu uzi, na mimi naondoka jf kwa sasa mpaka panapo majaliwa
Sasa unakimbia nini kamanda? Si umsubiri kipenzi cha moyo wako amuage mumewe na amalize kuwalisha watoto aje akusemeshe? Umekula ng'ombe mzima ushindwe mkia? Au na wewe unawahi kwa mkeo na wanao? I love JF [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hahahaha huyo ni kaka yangu kipenzi kabisa jamani naye namkubali sana! Ila huyo tunafahamiana sasa huyu crush wangu hatufahamiani hata pm hatujawahi enda!

Halafu kuna uzi aliwahi kusema yeye anapenda date wadada wembamba ndiyo type zake! Nikajisemea mwee mimi na ukibonge huu atataka hata urafiki na mimi kweli!
Mweee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo akasema anapenda wembamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Basi nimeshindwa kubet
Utanitajia tu mwenyewe [emoji1787]
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom