My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Simtaji ila nina uhakika ni yeye..
Na kuna I'd fulani ya mwaka jana nadhani ni yake japo yeye hajui kama naijua na wewe nadhani huijui.

Ngoja niendelee kuweka sawa rada zangu kichwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kitu mtakatifu..nimeamini Wewe si mtu wa rohoniI.ushafeli
 
Kwa hiyo baada ya kumjua, nini kinafuata...tumuombee Malume apate kibali kwa sista au tumuachie apambane kivyake?
Mzee baba kama tu PM umekosa kibali, achana na hizo mambo...pigania mengine, maisha yana mambo mengi huwezi kulalia kitu kimoja miaka yote hiyo.

Wanasema sio fungu lako.
 
Mimi ningekuwa mzee wa kubet nadhani ningekuwa nakula hela kila siku[emoji1787]

Kuna moja ngoja niimalizie hii wiki halafu nitakuletea ujue kwanini yule alikwambia fulani ni mtu wa maji.[emoji40][emoji40][emoji40]
Nilitaka niropoke siku ileile sema nikajipa muda.
Hahahaa ila kwangu mkeka ulichanika
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom