My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Hii kitu hutokea sana...

I used to admire someone, had a crush on her... fortunately nimefanikiwa kumuelewesha na kanielewa...

Anajijua mwenyewe...
[emoji4][emoji4]
Hongera sana
 
Kama sio wewe bahati, you're intelligent, mshauri mzuri, you write a lot of sense mda wote, fact nisiyoijua ni status yako kimahusiano( married/unmarried). Karata yangu imetumbukia kwako sis darling [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
You are wrong, very wrong, cha kike kabisa, huyu ninaemzungumzia hapa huwa anaweka wazi kabisa kwamba ameolewa na ana watoto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzee hadi umekula block? Huyo kiumbe ni hatari sana, mimi nina moyo mdogo, nisingeweza...ningepotea kwa muda humu[emoji39][emoji39]
Nimejaribu kupotea kwa muda baada ya kuona ananipotezea hajibu PM zangu ila nikashindwa kabisa kukaa bila kuingia humu nisipomuona nahisi kupagawa kabisa
 
Mimi ndiye ninayewahakikishia kwamba sio mimi. Si umeona amesema amelimwa hadi na block sasa. Kwa hiyo ile ya age ndiyo uliyoniambia siku ile?. Karata yako imekuwa karata dume
Kama sio wewe bahati, you're intelligent, mshauri mzuri, you write a lot of sense mda wote, fact nisiyoijua ni status yako kimahusiano( married/unmarried). Karata yangu imetumbukia kwako sis darling [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Ikifika mahali huu uzi ukafika mwisho, nitaweka wazi halafu ndio nitasepa JF moja kwa moja maana i can see kwamba the lady has no whatsoever onterest na mimi, na kwa kywa ameniblock, basi i will express my feelings to her publicly sio kwa nia mbaya ila tu nataka ajue how i feel about her, na nitamwomba msamaha kwa kumwanzishia uzi halafu nitapotea moja kwa moja JF[emoji22][emoji22]
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom