nafuatilia kwa karibu sana mahangaiko yenu hapo mwanza,Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727
Ni nani *mshauri wa ruhusa za maandamano??
Mbona siyo kawaida?
Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?
Kuna jambo hapa si kawaida kwetu!
Zamani ilikuwa CHADEMA wakifanya maazimio tu ya kuandamana tayari taarifa za 'kiintelijensia' zinasambaa, na kuzuia maandamano.
CPA Catherine Ruge yuko wapi? Naona kama amepotea hivi.Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727View attachment 2904764
KumekuchaaaaLeo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727View attachment 2904764
Leteni maendeleo sisi hatuhitaji vyama pinzani lakini kwa wizi, ufisadi na kujilimbikizia mali kwa viongozi wa ccm huku wakidanganya wananchi basi ccm imeshakufa inasubiei kuzikwa.Namuomba Mhe. Rais asome alama za nyakati ili CCM yetu isije ikaangukia pua. Naipenda CCM.
Naona mnajitekenya na kucheka wenyewe kama mazuzu.
Sentensi inaumiza sana hii.Uongo Luca?Jitahidi kuvumilia yasiyokufarahisha. Hapo hakuna nguvu Wala vitisho vya Dola. Huo ni umati unaokwenda kwa hiari Yao.
Majibu ya ile karatasi UN tunataka mrejesho!Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727View attachment 2904764
Siyo barua ya kwenda kwa mwenyekiti wa kijiji ile.Inahitaji muda.Majibu ya ile karatasi UN tunataka mrejesho!
Kwamba hukutaka waruhusiwe kuandamana?Ni nani *mshauri wa ruhusa za maandamano??
Mbona siyo kawaida?
Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?
Kuna jambo hapa si kawaida kwetu!
Zamani ilikuwa CHADEMA wakifanya maazimio tu ya kuandamana tayari taarifa za 'kiintelijensia' zinasambaa, na kuzuia maandamano.
Likizo ya uzaziCPA Catherine Ruge yuko wapi? Naona kama amepotea hivi.
Amandla...