Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,403
Watanzania wote wanafahamu na kimsingi wamekubali kushiriki kikamilifu Maandamano hayo ya amani yaliyoitishwa na CHADEMA , ili kupinga miswada mibovu ya Sheria za Uchaguzi iliyopelekwa bungeni.
Awali Katibu Mkuu wa Chadema alieleza kwamba maandamano hayo yataanzia Mbezi na Buguruni na kuishia kwenye Ofisi za UN , ambako inatarajiwa yatapokelewa na Maofisa wa UN kwa niaba ya Katibu Mkuu wa UN (zipo tetesi kwamba huenda Katibu Mkuu wa UN akaingia Tanzania ili kupokea maandamano hayo)
Sasa kwa Washiriki wa Maandamano , wanafikaje Mbezi na Buguruni ? ni Saa ngapi hasa wanatakiwa kufika ? Wanapokelewa na nani ? wanaelekezwa na nani ? na ni Buguruni ipi au Mbezi ipi ?
Kwa Majibu ya maswali haya na mengine na kwa mwongozo ulionyooka kuelekea maandamano haya ya Amani endelea kubaki hapa hapa JF .
Tunaweka kila kitu mapema kwa vile siku ya maandamano hatutakua na muda wa kuandika chochote
MUHIMU : MUANDAMANAJI HUTAKIWI KUBEBA SILAHA YA AINA YOYOTE ILE , UKIBAINIKA UTAONDOLEWA .
Mungu Ibariki Chadema
Awali Katibu Mkuu wa Chadema alieleza kwamba maandamano hayo yataanzia Mbezi na Buguruni na kuishia kwenye Ofisi za UN , ambako inatarajiwa yatapokelewa na Maofisa wa UN kwa niaba ya Katibu Mkuu wa UN (zipo tetesi kwamba huenda Katibu Mkuu wa UN akaingia Tanzania ili kupokea maandamano hayo)
Sasa kwa Washiriki wa Maandamano , wanafikaje Mbezi na Buguruni ? ni Saa ngapi hasa wanatakiwa kufika ? Wanapokelewa na nani ? wanaelekezwa na nani ? na ni Buguruni ipi au Mbezi ipi ?
Kwa Majibu ya maswali haya na mengine na kwa mwongozo ulionyooka kuelekea maandamano haya ya Amani endelea kubaki hapa hapa JF .
Tunaweka kila kitu mapema kwa vile siku ya maandamano hatutakua na muda wa kuandika chochote
MUHIMU : MUANDAMANAJI HUTAKIWI KUBEBA SILAHA YA AINA YOYOTE ILE , UKIBAINIKA UTAONDOLEWA .
Mungu Ibariki Chadema