Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
[MENTION]Mbona kiungo muhimu hakiongelewi hapa! kumbukeni hayo yote mwanamke pia anaweza kuyafanya...
Sio tu kwenye nyekundu, bali pointi zako zinasimamia mfumo dume zaidi!.Mhhh!
kadiri siku zinavyoenda swali linazidi kuwa zito
Kwangu mie wa zamani,
mwanaume (sio kijana)
- awe ana ambition - maono, au matamanio, au muelekeo unaoonekana na sie tunaomuangalia
- awe realistic na hali ailonayo kwa wakati ule yani ajijue, na mipango yake ianzie hapo,
- mimi nilisoma na nikaamini kuwa mwanaume anatakiwa awe ana mtazamo wa kutafuta solutions kwa vitendo, awe anasukumwa na kutafuta mambo boda zaidi kwa matendo sio kwa maneno, yani akiongea kuwa ni kwa kuelekea kwenye solutions sio kuzunguka zunguka tu kwenye stori then kuacha hewani, (mfano stori za mpira kwa wasiocheza wala kujiunga na vyama vya mpira)
- anakuwa mwanaume pale anapokuwa amepata ile sense ya kuwa mwangalizi, kuwa responsible kwa watu wengine, watoto, wazee, mke jamii. anapokuwa anajisikia kuwatunza na kujipa jukumu la kutimiza mahitaji yao, anapoacha kujifikiria mwenyewe kwa aslimia kubwa
Hii ya mwisho ndio inapungua sana siku hizi
mtoto wa kiume (over 25) haoni shida wala aibu kuomba, tena kuomba kwa wazee au wasichana. Mimi inanitatiza sana.
wavulana wanatilia mkazo nguo, viatu, perfume, saluni kuliko wanavyofikiria jinsi ya kuikwamua jamii yao,
unakuta kijana bajeti yake yote inaishia huko, akijua au akidhani kuwa kwa kuwa wazazi au wadogo zake hawamuombi hela, hawamuhitaji,
Basi japo kuwa na tabia ya kujipa jukumu la kulipa umeme, au la kununua uniform, jpo hukaombwa!!!
jamani mnakera!
Sio tu kwenye nyekundu, bali pointi zako zinasimamia mfumo dume zaidi!.
Mwanaumme bila kazi hapendeki
Shida akililiwa visingizio kibao
Kumgalagaza mwenzie kitandani haoni kero
Lakini matunda yake kamwe hayali
Mwanaumme ni nini haswa?
Binti alijipanga bila ya zengwe
Yalikuwa matunda ya ushauri nasaha
Mwenzie alimpasha amalizane naye
Naye aliafiki na sasa matunda yapo hadharani
Mwanaumme ni nini haswa?
Rafikiye alimwuuma sikio naye akaafiki
Kisa mkomoe na uja wepesi
Mengineyo yatajipa sasa ni kilio
Kijana kaingia mitini na hataki tena
Mwanaumme ni nini haswa?
Mwanaumme bila kazi hapendeki
Shida akililiwa visingizio kibao
Kumgalagaza mwenzie kitandani haoni kero
Lakini matunda yake kamwe hayali
Mwanaumme ni nini haswa?
Binti alijipanga bila ya zengwe
Yalikuwa matunda ya ushauri nasaha
Mwenzie alimpasha amalizane naye
Naye aliafiki na sasa matunda yapo hadharani
Mwanaumme ni nini haswa?
Rafikiye alimwuuma sikio naye akaafiki
Kisa mkomoe na uja wepesi
Mengineyo yatajipa sasa ni kilio
Kijana kaingia mitini na hataki tena
Mwanaumme ni nini haswa?
[MENTION]Kuku ni kuku,jogoo jina.Hujui ki baolojia tuko nusu wanaume,nusu wanawake.So,mwanaume ni UUME.Hata kama hana pesa,nyumba wala gari.