Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #61
Nshomile Ruta nimekubali shairi lako. Imebidi niandike kwani nilihisi kitufe cha "like" kisingeyatendea haki mawazo yangu. Ila unaonaje ukijikita kwenye umalenga ikiwezekana uandike vitabu kwa ajili ya hiki kizazi kipya cha SMS.
Tata ushauri mzuri tatizo ni muda sina........
Last edited by a moderator: