Mwanaumme ni nini?

Nshomile Ruta nimekubali shairi lako. Imebidi niandike kwani nilihisi kitufe cha "like" kisingeyatendea haki mawazo yangu. Ila unaonaje ukijikita kwenye umalenga ikiwezekana uandike vitabu kwa ajili ya hiki kizazi kipya cha SMS.

Tata ushauri mzuri tatizo ni muda sina........
 
Last edited by a moderator:
[Welcome back Chief. Kwa mashairi sikuwezi. Mwanaume ni kiumbe wa ajabu sana..anajikana mwenyewe kisa kuogopa majukumu..baadaye yeye huyo huyo arudi na kuomba msamaha..

Rogie hoja imesikika
 
Last edited by a moderator:
Unaposema mfumo dume una maana gani?
kama una maana mwanamke kuwa 100% responsible kwa mambo ya kike na mengine ambayo itabidi apambane nayo kwenye mazingira yake, na mwanaume kuwa 100% responsible kwa majukumu ya kiume na mengine ambayo life itamtupia then naomba niku 'like'

lakini kama una maana mwanamke kuacha majukumu yake kukimbilia mengine na kutaka watu wengine ndio watake cover ya alioacha, au mwanaume kukumbia majukumu yake na kukimbilia mengine ili akiacha watu wahangaikie na majukumu asilia ya kwake then HAPANA.
hivi mfumo dume hasa uwa ni upi? mimi hua nasikia wanautaja wakati wanazungumzia kupiwga kina mama, kuachiwa kazi ngumu etc kwa upande huu siwezi kuongea sana ila sipendi familia ya hivi.

Nilimaanisha kuwa, mwanaume kwa maumbile, ni lazima atumike na awe mwangalizi. kama atanunua mikuki na kulinda sungusungu, au ataweka walinzi, au atasimamia uwepo wa security alarms, inabidi imkae kichwani, ukiona mama ndio anahangaika na kama alarms, walinzi kama wamekuja, kama mbwa ni wakali, wamekula au kucheki milango imefungwa usiku, inabidi ujue significance yako inapotea

pia ukiona familia watoto wanakula usichojua, wanafunga na kufungua shule bila kuulizwa, wanaugua nakupona bila wewe kujuuliza, mama na watoto wanavaa mwaka mzima h ujihusishi lazima tukushangae

Haika familia ni one flesh in spirit.........
 
Last edited by a moderator:
nyie mnaoweka mashairi hapa mnanipa wivu usioelezeka. i can't write mashairi to save my life wakati nyie mnamwagika tuu.
kweli kila mtu ana uwezo wake.

Blaine kila safari huanza n ahatua moja..................anza utafika tu
 
Last edited by a moderator:
mwanaume kusimama, miguu yote mitatu,
mmoja wa kwake mamaa, miwili ni ya viatu,
kwake usikae hama, mpende kwa wote utu,
mwanaume kusimama, heshima kujiletea.
[MENTION]
Mentor[/MENTION] you really need a protege.............
 
Mwanaumme bila kazi hapendeki
Shida akililiwa visingizio kibao
Kumgalagaza mwenzie kitandani haoni kero
Lakini matunda yake kamwe hayali
Mwanaumme ni nini haswa?

Binti alijipanga bila ya zengwe
Yalikuwa matunda ya ushauri nasaha
Mwenzie alimpasha amalizane naye
Naye aliafiki na sasa matunda yapo hadharani
Mwanaumme ni nini haswa?

Rafikiye alimwuuma sikio naye akaafiki
Kisa mkomoe na uja wepesi
Mengineyo yatajipa sasa ni kilio
Kijana kaingia mitini na hataki tena
Mwanaumme ni nini haswa?
Shair zuri, ila litume BBC watakupa pesa, jf kuna fan nyingine.:becky::becky::becky::becky::becky:
 
Mwanaume ni title ya kuwea kufanya kitu. Hata wanawake wakishandana kidogo huwa wanasema nani mwanaume hapa atakayeweza kufanya hili au lile.
 
Mwanaume ni title ya kuwea kufanya kitu. Hata wanawake wakishandana kidogo huwa wanasema nani mwanaume hapa atakayeweza kufanya hili au lile.

Sir R Baadhi ya vitu siyo vyote.....vingine ni kababu.............
 
Last edited by a moderator:
wabohaki,kaka Ruta
Nawasalimu wa kunyumba

uanamume ndio utata
mengineyo ni viambata.

sio gari unalobuluta
wala ghorofa yako nyumba
au wangapi umewapata

Sanda Matuta.......................au wangapi wamekupata......
 
Last edited by a moderator:
Shair zuri, ila litume BBC watakupa pesa, jf kuna fan nyingine.:becky::becky::becky::becky::becky:

KIDUDU Ushauri mwema tatizo sina kiu ya faranga.......................napenda kujitolea tu........
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom